Hoja za Mwalimu Nyerere kupinga serikali tatu Tanzania

Basi suala langu wala halijagusa Muungano wenu.

Kama umenisoma vizuri nimepita nje ya Muungano wenu na ndio maana nikabainisha harakati za kuundwa kwa Serikali ya Tanganyika ndani ya muungano.

Suala langu nimeuliza Hivi KWANINI NYERERE ALIKANA KUANZISHWA KWA SERIKALI YA TANGANYIKA NDANI YA MUUNGANO?

ALIKUWA NA SIRI GANI?


Kumbe wewe si miongoni mwa nchi hizo zilizoungana ( Tanganyika na Zanzibar) sasa kinakusibu kipi tena yakhe kuuliza yasiyokuhusu?
 
Nyerere alikuwa mnafiki. Kujipendekeza kwa wanzibari eti kuwapa serikali yao na kuua utanganyika. Simuelewi alikusudia nini.
Tanganyika ya nini hasa! Kuna tunalolikosa kwa kutokuwepo Tanganyika? Hiyo Zanzibar yenyewe haitokuwepo Muungano ukivunjika.
 
Kwani kuanzishwa kwa Serikali ya Tanganyika ndani ya Muungano wenu kungeathiri nini uwepo wa Zanzibar na Tanzania?

Barubaru, kwenye maandiko yako yote umekuwa unatumia maneno hayo kwenye 'red' kwa lengo la wewe kujiondoa. Leo umeongeza usemi mwingine huu hapa;
Waarabu tuna usemi unaonena. ''NI RAHISI SANA KUWADANGANYA WATU. LAKIN NI VIGUMU SANA KUWAAMBIA WATU KUWA WAMEDANGANYWA'

Naomba unifahamishe kwa kina, wewe mwarabu uliyesomeshwa na Nyerere kwa huruma tu, akakupa ajira wizara ya fedha bila kujali kuwa wewe ni mwarabu na muislamu, halafu kwa hiyari yako mwenyewe ukaamua kuondoka Danganyika kama unavyoiita wewe mwenyewe! leo mambo ya Muungano yanakuhusu nini mpaka uyanyapalie?
Isitoshe mambo yote uliyoyaeleza hapo juu yalitokea wakati wewe ukiwa mtu mzima na akili timamu, kilikushinda nini kuyauliza wakati huo? Utaulizaje wakati mchezaji mkuu ameshafariki? unawezaje kumkejeli marehemu Nyerere kwa kumuita St. sasa hivi, wakati akiwa hai ulikuwa huwezi thubutu hata kumuuliza swali hata la kawaida tu?
Barubaru, harakati zako ni za kihasama na zilizojaa fitna na hila, hazina hata chembe ya usomi unaojinasibu nao. Wewe ni mwarabu, baki na uarabu wako kama unadhani ni jambo la kujivunia! tuachie mambo yetu watanzania tutayajadiri na kuyafikia mwafaka bila msaada wako wewe mwarabu.
 
Ndugu yangu Barubaru naona umerudi tena kwa mwalimu Nyerere kama ilivyo ada yenu, hamchoki kumtaja kwa kila aina ya ubaya mnaouwazia kuhusiana na nchi yenu ya zanzibar.
Suala la kwanini mwalimu Nyerere alikataa kuundwa kwa serikali ya Tanganyika ndani ya muungano ama kwanini alikataa muungano wa serikali moja halina mantiki kwa sasa kwakuwa mhusika mkuu ameshatangulia mbele ya haki.

Kilichokuwa cha muhimu kwa sasa ni kuwashauri ndugu zako wa cuf watumie njia sahihi kudai uhuru kamili wa zanzibar badala ya Maalim seif na Ismail justa kupiga makelele kwenye amjukwaa ya kisiasa na mitandao ya kijamii.

Kwakuwa ni dhahiri kwamba ndugu zako waarabu mmekusudia (kama ulivyojitambulisha) kuirejesha zanzibar katika himaya yenu, ni vizuri hao vibaraka wenu justa na seif wakae chini waandae hoja yenye mashiko na kuiwasilisha katika bunge la JMT ili muweze kujipatia uhuru wenu mnaoulilia kila mara. Kwani kuondoka na kubaki kwa zanzibar ndani ya muungano "it doesn't add any value, to my opinion".
 
Last edited by a moderator:
Ndugu yangu Barubaru naona umerudi tena kwa mwalimu Nyerere kama ilivyo ada yenu, hamchoki kumtaja kwa kila aina ya ubaya mnaouwazia kuhusiana na nchi yenu ya zanzibar.
Suala la kwanini mwalimu Nyerere alikataa kuundwa kwa serikali ya Tanganyika ndani ya muungano ama kwanini alikataa muungano wa serikali moja halina mantiki kwa sasa kwakuwa mhusika mkuu ameshatangulia mbele ya haki.

Kilichokuwa cha muhimu kwa sasa ni kuwashauri ndugu zako wa cuf watumie njia sahihi kudai uhuru kamili wa zanzibar badala ya Maalim seif na Ismail justa kupiga makelele kwenye amjukwaa ya kisiasa na mitandao ya kijamii.

Kwakuwa ni dhahiri kwamba ndugu zako waarabu mmekusudia (kama ulivyojitambulisha) kuirejesha zanzibar katika himaya yenu, ni vizuri hao vibaraka wenu justa na seif wakae chini waandae hoja yenye mashiko na kuiwasilisha katika bunge la JMT ili muweze kujipatia uhuru wenu mnaoulilia kila mara. Kwani kuondoka na kubaki kwa zanzibar ndani ya muungano "it doesn't add any value, to my opinion".


Mwita Maranya,

Hakika suala langu halina hata chembe ya Siasa bali limejawa na FACT tu na uhalisia. Kilichonigusa zaidi ni kuona kuna mijadala mingi sana kuhusu Muungano wenu na ukiisoma kwa dhati kabisa utaona WaTanganyika wamekuwa waoga sana kuamua hatima yya muungano zaidi wamekuwa watu wa kuacha hatima hiyo iamuliwe na waZnz.

Nikarejea nyuma zaidi kuangalia historia yenu nikagundua hata Nyerere hakupenda kabisa kuanzishwa kwa Serikali ya Tanganyika na alitumia kila hila kuhakikisha Serikali ya tanganyika haiwezi anzishwa.

Kwa mtazamo wangu kuanzishwa kwa Serikali ya tanganyika kunaweza KUUJENGA na kuuimarisha zaidi Muungano wenu au Inaweza kubalisha aina ya muungano wenu au hata Kuuvunja Muungano wenu inategemea wenyewe mnaujadili katika angle ipi.

Lakin sikuona sababu ya Watanganyika tena kizazi cha Sasa kuzidi wale wabunge 55 toka bara waliodai utaifa na Serikali hiyo kuukataa na KUUKANA Utaifa na SERIKALI ya tanganyika na kupoteza muda mwingi kusema Let Znz Go badala ya kujinasibu na kudai Utaifa wenu kama nembo yenu ya asli.

Lakin chanzo cha Yote ni St Nyerere. Sasa suala langu likajikita hapo kuona kuna Siri gani katika kuanzishwa kwa Serikali ya Tanganyika. Na kwanini Nyerere alipinga kwa nguvu zote uanzishwaji wa Serikali ya Tanganyika?

Sasa nasubiri majibu yenu kama yapo ili tujadili kwa kina.

Bismillah
 
Barubaru, kwenye maandiko yako yote umekuwa unatumia maneno hayo kwenye 'red' kwa lengo la wewe kujiondoa. Leo umeongeza usemi mwingine huu hapa;
Waarabu tuna usemi unaonena. ''NI RAHISI SANA KUWADANGANYA WATU. LAKIN NI VIGUMU SANA KUWAAMBIA WATU KUWA WAMEDANGANYWA'

Naomba unifahamishe kwa kina, wewe mwarabu uliyesomeshwa na Nyerere kwa huruma tu, akakupa ajira wizara ya fedha bila kujali kuwa wewe ni mwarabu na muislamu, halafu kwa hiyari yako mwenyewe ukaamua kuondoka Danganyika kama unavyoiita wewe mwenyewe! leo mambo ya Muungano yanakuhusu nini mpaka uyanyapalie?
Isitoshe mambo yote uliyoyaeleza hapo juu yalitokea wakati wewe ukiwa mtu mzima na akili timamu, kilikushinda nini kuyauliza wakati huo? Utaulizaje wakati mchezaji mkuu ameshafariki? unawezaje kumkejeli marehemu Nyerere kwa kumuita St. sasa hivi, wakati akiwa hai ulikuwa huwezi thubutu hata kumuuliza swali hata la kawaida tu?
Barubaru, harakati zako ni za kihasama na zilizojaa fitna na hila, hazina hata chembe ya usomi unaojinasibu nao. Wewe ni mwarabu, baki na uarabu wako kama unadhani ni jambo la kujivunia! tuachie mambo yetu watanzania tutayajadiri na kuyafikia mwafaka bila msaada wako wewe mwarabu.

Ahali yangu Gwalihenzi,

Nilichobainisha hapo ni matukio na harakati mbalimbali zilianzishwa na waZnz na zile zilizoanzishwa na Wabunge 55 toka Tanganyika katika kudai Serikali ya Tanganyika na kuujadili muungano wenu kijumla.

Binafsi nachukia sana Tarbia ya watu hususan kutoka Tanganyika ya kupenda au kuamua kuiga tabia ya "ujanja" wa mbuni wa kuzika kichwa mchangani, eti kukwepa janga.

Kwani mkwepa janga mwishowe anafikia kuogopa hata kivuli chake. Na hili ndilo linalojidhihirisha hapa.

Nimeweka Fact katika bandiko langu kama unapingana nayyo basi nieleze wapi na kutokana na fact hizo nikatengeneza suala kwanini Nyerere alikataa kuanzishwa kwa Serikali ya Tanganyika tena kwa kutumia nguvu nyingi kupinga hilo?

Je kuna Siri au ilikuwa na Siri gani kuhusu Serikali ya tanganyika?

lete hoja zako na sio kumjadili mtu.

 
Barubaru, kwenye maandiko yako yote umekuwa unatumia maneno hayo kwenye 'red' kwa lengo la wewe kujiondoa. Leo umeongeza usemi mwingine huu hapa;

Ahali yangu Gwalihenzi,

Nilichobainisha hapo ni matukio na harakati mbalimbali zilianzishwa na waZnz na zile zilizoanzishwa na Wabunge 55 toka Tanganyika katika kudai Serikali ya Tanganyika na kuujadili muungano wenu kijumla.

Binafsi nachukia sana Tarbia ya watu hususan kutoka Tanganyika ya kupenda au kuamua kuiga tabia ya "ujanja" wa mbuni wa kuzika kichwa mchangani, eti kukwepa janga.

Kwani mkwepa janga mwishowe anafikia kuogopa hata kivuli chake. Na hili ndilo linalojidhihirisha hapa.

Nimeweka Fact katika bandiko langu kama unapingana nayyo basi nieleze wapi na kutokana na fact hizo nikatengeneza suala kwanini Nyerere alikataa kuanzishwa kwa Serikali ya Tanganyika tena kwa kutumia nguvu nyingi kupinga hilo?

Je kuna Siri au ilikuwa na Siri gani kuhusu Serikali ya tanganyika?

lete hoja zako na sio kumjadili mtu.

Barubaru, unaongea vitu gani hapa na kwa masilahi ya nani? wewe unajiita mwarabu ambaye sio mtanzania! sasa kwanini utatizike na muungano usiokuhusu?kwanini ukasilishwe na kutokuwepo kwa serikali ya Tanganyika ambayo haikuhusu hata kidogo?Kama watanganyika unaowaita wajanja/wadanganyika na wanaiga tabia ya mbuni kukwepa janga na wanajua janga linakuja, wewe kwanini uwaonee huruma? si uwaache janga liwafike? Kuwepo au kutokuwepo serikali ya Tanganyika kunaathiri vipi maisha yako ya kiarabu huko uarabuni mpaka uanze kumkejeli marehemu Nyerere kwa kumuita ST? Usomi wako uko wapi hapo au kumpachika kejeli mtu aliyefariki huko sio kumjadili mtu? Barubaru, kama unaijua hiyo unayoiita siri ya Nyerere kuhusu Tanganyika si uiweke hapa? kwanini unajizungusha zungusha? usiwe mtovu wa fadhira, kumbuka ni sera za usawa za Nyerere unaye mkejeli hapa ndio zilizo kupatia nafasi ya kusoma bure pale Ilriboru na baadaye UDSM! Wala huo uarabu wako sio jambo la kujivunia hata kidogo kwani wewe na wazazi wako hamkufanya juhudi yoyote ya kukufanya uzaliwe mwarabu " it was purely a biological accident!" Tuachie watanzania tuujadiri muungano wetu bila hila na fitina zako.
 
Waarabu tuna usemi unaonena. ''NI RAHISI SANA KUWADANGANYA WATU. LAKIN NI VIGUMU SANA KUWAAMBIA WATU KUWA WAMEDANGANYWA''

Ni vigumu sana kukushawishi barubaru kuwa waliokupandikiza kichwani mwako Chuki dhidi ya Nyerere na Watanganyika WALIKUDANGANYA.

Pole sana. Chuki yako itakukondesha tu...
 
Mwita Maranya,

Hakika suala langu halina hata chembe ya Siasa bali limejawa na FACT tu na uhalisia. Kilichonigusa zaidi ni kuona kuna mijadala mingi sana kuhusu Muungano wenu na ukiisoma kwa dhati kabisa utaona WaTanganyika wamekuwa waoga sana kuamua hatima yya muungano zaidi wamekuwa watu wa kuacha hatima hiyo iamuliwe na waZnz.

Nikarejea nyuma zaidi kuangalia historia yenu nikagundua hata Nyerere hakupenda kabisa kuanzishwa kwa Serikali ya Tanganyika na alitumia kila hila kuhakikisha Serikali ya tanganyika haiwezi anzishwa.

Kwa mtazamo wangu kuanzishwa kwa Serikali ya tanganyika kunaweza KUUJENGA na kuuimarisha zaidi Muungano wenu au Inaweza kubalisha aina ya muungano wenu au hata Kuuvunja Muungano wenu inategemea wenyewe mnaujadili katika angle ipi.

Lakin sikuona sababu ya Watanganyika tena kizazi cha Sasa kuzidi wale wabunge 55 toka bara waliodai utaifa na Serikali hiyo kuukataa na KUUKANA Utaifa na SERIKALI ya tanganyika na kupoteza muda mwingi kusema Let Znz Go badala ya kujinasibu na kudai Utaifa wenu kama nembo yenu ya asli.

Lakin chanzo cha Yote ni St Nyerere. Sasa suala langu likajikita hapo kuona kuna Siri gani katika kuanzishwa kwa Serikali ya Tanganyika. Na kwanini Nyerere alipinga kwa nguvu zote uanzishwaji wa Serikali ya Tanganyika?

Sasa nasubiri majibu yenu kama yapo ili tujadili kwa kina.

Bismillah

sio watanganyika wamekuwa waoga ni Wazanzibara wamekuwa waoga. Hivi wameshindwa nini wabunge wa znz wote kuungana kwa pamoja kuja na hoja? Ninachokiona wakiwa bungeni ni kuishambulia chadema na TL wakati chadema wanajenga hoja kuwatetea wapate nchi yao. Nadhani waznz watafute chama kingine cha upinzani kiitetee nchi yao na sio CUF
 
Nimesoma hii thread kwa UMAKINI NIKAJA GUNDUA kitu kwaninim dunia inawatenga na KUWACHUKIA WAARABU,..AND I GOT THE ANSWER SIMPLY BECAUSE ARABS ARE PATHETIC,STUPID,WORTHLESS AND BAD ENOUGH CREATURES WITH NO AMBITION AND HUMANITY AT ALL,HUYU ALIYETUMA HII THREAD BILA SHAKA NI MUISLAM WA NZANZIBAR NA NI MWANA UAMSHO(PEOPLE WHO ARE LED BY EMOTIONS AND NOT REALISM).NZANZIBAR BAADA YA MAPINDUZI YALIFANYIKA MAUAJI MAKUBWA YA WAARABU WAPATAO ELFU KUMI NA SABA NA KUTUPIWA KWENYE MASS GRAVE,NA NLIJIULIZA KWANINI..MAJIBU NIKAPATA KWAMBA WAARABU NI MAJOR ENEMIES OF THE BLACK MEN WORSE THAN THE S.S OF THE THIRD REICH...SIMPLY TUNAONA MAMBO YA UBAGUZI WA NJE NJE MNAOTUFANYIA WATANZANIA(KUMBUKA MWARABU+MUHINDI KWANGU MIMI NI KAMA UBEPARI WENYEWE).....BABA WA TAIFA HAKUTAKA SERIKALI TATU KWASABABU ALIJUA NYINYI MASULTANI NDIYO MNAO WAHONGA PESA WEUSI WA NZANZIBARI ILI MVUNJE MUUNGANO NA MUWATAWALE,PILI BABA WA TAIFA ALIOGOPA TANZANIA ISIJE IKAWA NCHI YA KIDINI since mambo mengi yalifanywa ili kuiweka Tanganyika na Zanzibar kwenye kapu moja......na hata siku moja usimlaumu nyerere aliyezinufaisha Tanganyika na Zanzibar ila muwalaumu uamsho wenzenu Mwinyi mzee wa SAP na J.K ambao ndiyo walioleta umaskini mkubwa kwa Taifa letu na ninyi waarabu baada ya mapinduzi kufanyika Watanzania watafilisi na kuwa-obliterate wahujumu uchumi wakubwa.Na kwanini huo uamsho unaanza pata nguvu wakati ishu ya Malawi inapamba moto?ninyi hamcollaborate na Malawi kweli?Na nyinyi mnaanza pata nguvu baada kusikia Rwanda,Kenya+Uganda wanataka kuisubdue Tanganyika?kwanini mtake toka kama hamjui mipango ya kuivamia Tanzania?mnataka mpone na msihusike na vita nyie waasi na mazandiki?
 
Kama ulipita shule kidogo utakubaliana nami kuwa 1+1=2 na sio 3, Kama unaunganisha wanandoa 1+1=1 yaani wawili wanakuwa kitu kimoja. Nakubaliana na Mawazo chanya ya Nyerere ya kuchagua Serikali mbili badala ya moja sababu alihitaji muda kuunganisha watu ili waelekee kwenye ndoa kamili ya Serikali moja.

Mawazo ya kutaka Zanzibar iwe nchi ni pandikizi la Wanasiasa wenye uchu wa madaraka, miaka 50 ya uhuru iliyotumiwa barabara kuunganisha watu haiwezi kutenganishwa na ndoto ya siku moja, watu waliochanganya damu na kuwa ndugu kamwe hawawezi kubali watengwe. Mtu akiuliza kwa nini watu hawa wanafunga ndoa hakika utamshangaa mtu huyo sababu kuungana ni jambo la kheri, Pia ni haki ya kila Mtanzania KUSHANGAA WANAOOTA TANZANIA ITENGANE SABABU UASI HAUNA MWISHO BALI HUENDELEA MILELE.

Tanganyika hatutakubali vunja ndoa hiyo ya muungano kwa kufanya yafuatayo:
1.Nchi itaendelea kuwa Tanzania hata kama Zanzibar itajiondoa sababu kuu ikiwa Muungano ni jambo jema,Na ndoa haiwezi vunjwa na muolewaji kamwe.
2.Baada ya Zanzibar kujitenga, uasi utaendelea hivyo Pemba au Unguja lazima mojawapo itarudi bara sababu ya Umoja wetu na Zanzibar haitasimama kamwe.
 
Mwita Maranya,
Hakika suala langu halina hata chembe ya Siasa bali limejawa na FACT tu na uhalisia. Kilichonigusa zaidi ni kuona kuna mijadala mingi sana kuhusu Muungano wenu na ukiisoma kwa dhati kabisa utaona WaTanganyika wamekuwa waoga sana kuamua hatima yya muungano zaidi wamekuwa watu wa kuacha hatima hiyo iamuliwe na waZnz.

Nikarejea nyuma zaidi kuangalia historia yenu nikagundua hata Nyerere hakupenda kabisa kuanzishwa kwa Serikali ya Tanganyika na alitumia kila hila kuhakikisha Serikali ya tanganyika haiwezi anzishwa.

Kwa mtazamo wangu kuanzishwa kwa Serikali ya tanganyika kunaweza KUUJENGA na kuuimarisha zaidi Muungano wenu au Inaweza kubalisha aina ya muungano wenu au hata Kuuvunja Muungano wenu inategemea wenyewe mnaujadili katika angle ipi.

Lakin sikuona sababu ya Watanganyika tena kizazi cha Sasa kuzidi wale wabunge 55 toka bara waliodai utaifa na Serikali hiyo kuukataa na KUUKANA Utaifa na SERIKALI ya tanganyika na kupoteza muda mwingi kusema Let Znz Go badala ya kujinasibu na kudai Utaifa wenu kama nembo yenu ya asli.

Lakin chanzo cha Yote ni St Nyerere. Sasa suala langu likajikita hapo kuona kuna Siri gani katika kuanzishwa kwa Serikali ya Tanganyika. Na kwanini Nyerere alipinga kwa nguvu zote uanzishwaji wa Serikali ya Tanganyika?
Sasa nasubiri majibu yenu kama yapo ili tujadili kwa kina.Bismillah
Baru baru, niliposoma bandiko lako na hasa mstari wa mwisho nikabaini kuwa hukuwa na swali la msingi bali mashambulizi dhidi ya Nyerere kama ilivyo hulka ya Wazanzibar.
Nyerere hajawa Saint, kwa kuweka neno hilo makala nzima inapoteza mwelekeo, thamani na ustaarabu.

Nikukumbushe kuwa asilimia 99 ya WZNZ wanaamini (kwa kusikia tu) kuwa Nyerere ndiye aliyevunja PBZ na kuiunganisha na BoT. Kwa chuki iliyotamalaki badala ya hekima na weledi kila mmoja anaimba wimbo huo hadi Nasor Moyo alipowapasha dhahiri shahiri.

Ni chuki kama hizo ndizo zinapoteza hoja nyingi za WZNZ hata kama zina mashiko na wewe hujakwepa mtego huo kama inavyojidhihiri katika bandiko lako.

Umekwepa neno muungano lakini nia hutangulia ukweli au uongo, hatimaye umekubali makala yako ni juu ya muungano kama ulivyobainisha ''Tanganyika utaimarisha muungano''
Kwa mtu mwenye weledi ni busara akaenda straight to the point na ulichokifanya ni wogaunao watuhumu Watanganyika kuwa nao

Nikurejeshe katika hoja za Wildcard #2 na 35, Ndahani # 11, Bigaraone #30,wala hutapata tabu kuelewa jawabu la swali lako.
Ukiwa mwanzisha mada jibu maswali bila kukimbia, mathalani Wildcard ameuliza kwanini usihoji Nyerere kukataa ombi la Karume la kuwa na serikali 1?kwanini uruke historia kwa kukwepa ukweli?

Umewatusi watanganyika (unaiwaita Wadanganyika) kuwa wanaficha vichwa vyao ardhini.
Tusi hili ungelielekeza kwa WZNZ,mahala pake sahihi. Wazanzibar wanapoitaka Tanganyika irudi ni upuuzi usio na kipimo.
Tatizo lao ni ZNZ huru si kuwa na ZNZ inayopakana na Tanganyika.
Wildcard ameuliza, je kutokuwepo kwa Tanganyika kunaizuiaje ZNZ katika harakati zake?

Umesema Nyerere alipinga, alikana au alikataa uwepo wa Tanganyika.
Nadhani wakati huo hukuwa na uwezo wa kuelewa kile alichokuwa anasema na umegoma kujifunza katika umri ulio nao.

Nyerere aliwaambia G55 hakatai hoja ya Tanganyika, lakini yafanywe kwa mujibu wa serikali ya CCM ndani ya vikao na siyo short cut ya kupitia bunge. Akawaambia kama wanataka Tanganyika kwanza waondoke katika chama kinachoamini serikali 2 halafu walete hoja yao kwa kutumia taratibu nyingine.

Mantiki ya Nyerere ilikuwa ni kuwa udhaifu wa Rais Mwinyi siyo sababu ya kuunda Tanganyika.
Kama kulikuwa na tatizo basi lishughulikiwe kama tatizo la nchi na si tatizo la Mwinyi. Alifanya hivyo kulinda umoja wa kitaifa.
Kama ingeendelea kukubalika basi tungesikia Rais wa Tanganyika ya G55 akipata wabunge wengine wa G35 wakitaka mikoa ABCD ijitenge kwasababu tu ya udhaifu wake.Ndivyo Russia, Yugoslvia n.k vilivyosambaratika.

Jumbe ajiuzulu kwasababu hakutumia taasisi ya urais kujenga hoja bali yeye kama Jumbe.
Hilo linaungwa mkono na Maalim Seif, Nasor Moyo, Ali Hassan na wazee wengine wanaposema 'endapo Jumbe angewajulisha basi wangemuunga mkono' hakufanya hivyo na kwa utaratibu wa utawala lilikuwa na harufu ya treason hata kama halikuwa na lengo hilo.

Utaifa wa Tanganyika hautakiwi kuwasumbua vichwa Wazanzibar ukiwemo kwasababu hata kama Tanganyika itarudi, tatizo la umasikini, elimu duni, ujinga na maradhi kwa ZNZ na Tanganyika havitakwisha.
Lakini pia Tanganyika haliwashughulishi kwa vile hawana haja ya bendera, wimbo wa taifa n.k.

ZNZ ina GNU, bendera, wimbo wa taifa, ZMO, Baraza la mitihani, ZRA kwa uchache wa kutaja.
Unapaswa ujiulize, bendera na wimbo wa taifa unamsaidiaje average Zanzibarian anayeishi Ilala, Mabawa, Msasani kwa kuhemea njaa? Kama hivyo ni suluhisho kwanini 350,000 wakimbilie Tanganyika?

Bendera inamsaidiaje mtoto wa ZNZ anayesoma kwa kodi za Mtanganyika?
Kwanini unatushawishi tuige ujinga wa wa wimbo wa taifa usitushauri kuhusu maadui watatu ujinga, maradhi na umasikini?
Kwamba uwepo wa bendera na wimbo wa Tanganyika kwako wewe ni muhimu saaana! hadi kushawishika kuandika makala ya ushauri kwa Tanganyika irudi! real!

ZNZ inasema kuwa imekuwa ni koloni ndio wanatakiwa wapiganie nchini yao ijikomboe kama Tanganyika ilivyojikomboa kutoka ukoloni. Kitendo cha Wazanzibar kung'ang'ania Tanganyika irudi ni ujinga wa mbuni kuficha kichwa ardhini kwasababu tatizo lao si Tanganyika ni Zanzibar huru.
Kama Watanganyika hawana uchungu na Taifa lao hilo linawawashiani Wazanzibar na hapa wewe? Leave them alone

Na mwisho, Maalim Seif kiongozi wa CUF amekana serikali 3 za G55 sasa hoja yako hapo ni nini?
Maalim Seif kiongozi wa waaarabu anataka mkataba, hapa ndipo nakuuliza uhusu nini?

Nakushauri uelekeze hoja zako Mzalendo.net na Zanzet ili kutengeneza mkakati wa kuikomboa Zanzibar.
Tumewapa kila aina ya mbinu, kwa woga wa hali ya juu ZNZ imegoma kuvunja muungano.

Hatutaki mkataba wala upuuzi wa aina nyingine kwasababu hatuihitaji ZNZ kwa lolote au chochote

Tuache na ujuha wetu wa kutodai Tanganyika, lakini ni ujuha kusemea watu wakati nchi yako ina matatizo haya
1. Kutojua wanadai nini bali kuwasilikiliza mawakala wa Sultani
2. Umasikini uliokithiri na kupelekea nusu ya nchi kuishi Tanganyika ambako ni masikini lakini nafuu kwa mzanzibar
3. Kurejea kwa usultani na minyoro ya electronic kwani ya chuma haikubaliki tena duniani

Tanganyika si tatizo la wazanzibar, waambie tatizo lao wasifiche vichwa kama mbuni.
Hili si tatizo lako tu hata Maalimu amebaki kuuma uma maneno ya Zanzibar huru lakini kuwepo mkataba! pathetic and too low
 
Nyerere hakukataa kuundwa kwa serikali ya Tanganyika ndani ya Muungano, BALI

Nyerere
aliifuta Serikali ya Tanganyika ndani ya Muungano, kwa kupitia sheria namba 24 ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwaka 1967, ambapo Tanganyika sasa ikabadilika kuwa Tanzania Bara;

Kuna tofauti kubwa sana baina ya sentensi hizi mbili na mjadala wake utakuwa na manufaa zaidi ukifuata sentensi yenye kijani, kwani mjadala utakingwa zaidi na sheria; Mjadala wenye blue utakingwa zaidi na siasa; Huu ni mtazamo wangu tu, lakini nasimama kupingwa;
 
Nadhani Tanzania ndio nchi pekee Africa inayoongozwa na MFU

Hivi watu milioni 45 hawawezi kuwa na confidence ya mambo yao kwa kutegemea hivi hivi:

LEGISLATIVE
EXECUTIVE
JUDICIARY

sasa mtaendelea kuongozwa na mfu mpaka lini?
 
Nyerere hakukataa kuundwa kwa serikali ya Tanganyika ndani ya Muungano, BALI

Nyerere
aliifuta Serikali ya Tanganyika ndani ya Muungano, kwa kupitia sheria namba 24 ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwaka 1967, ambapo Tanganyika sasa ikabadilika kuwa Tanzania Bara;

Kuna tofauti kubwa sana baina ya sentensi hizi mbili na mjadala wake utakuwa na manufaa zaidi ukifuata sentensi yenye kijani, kwani mjadala utakingwa zaidi na sheria; Mjadala wenye blue utakingwa zaidi na siasa; Huu ni mtazamo wangu tu, lakini nasimama kupingwa;

Mchambuzi,

Hakika nimekusoma vizuri sana ila nafikiri umejawa na USHABIKI na ndio maana hukuweza kunielewa. Mimi nimetoa FACT na uchambuzi wangu ni wa KISHARIA zaidi na sio KISIASA. Sote tunajua wazi kuwa Utanganyika ulifutwa na Sharia ya JMTz. Lakin ukinisoma vizuri utaona mimi nimeanzia kuhusu harakati za Kuiridisha Serikali hiyo na Nimebainisha Nini JUmbe alifanya na nimebainisha kisharia na hata wabunge wa JMTz 55 waliodai Serikali hiyo. Kumbuka kazi ya bunge ni kutunga/ kubadilisha sharia. Hivyo nilichobainisha na kichwa changu cha habari ni sahihi kabisa kwani suala langu nimelijenga kutokana na conlusion zangu nilipo BLUE.

Nisome tena vizuri bila USHABIKI pasi na shaka utanielewa na kama utakuwa na ziada basi Bismillah na mimi nasimamia Kichwa cha habari changu.


Mdahalo wa kwanza juu ya mfumo na muundo wa Muungano ulianza kwa njia ya maoni juu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano mwaka 1983/84. Hapo, kwa mara ya kwanza ilibainika kuwa viongozi wa juu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, wakiongozwa na Rais Aboud Jumbe, na wale wa Serikali ya Tanzania, wakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano, Mwalimu Julius Nyerere, walikuwa na mitazamo tofauti inayokinzana juu ya Muungano.
Jumbe na timu yake walitaka Muungano uwe na Serikali tatu kwa maana ya Serikali ya Tanganyika, Serikali ya Zanzibar (iliyopo sasa) na Serikali ya Muungano yenye kushughulikia mambo ya Muungano tu, ambayo yameainishwa katika Ibara ya 6(a) ya Katiba ya Muungano (Articles of Union) na kifungu cha 8 cha Sheria ya Muungano (Acts of Union) Namba 22 ya 1964, na hatimaye ibara ya 4 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977.
Jumbe alikwenda mbali zaidi kwa kuandaa Hati ya Maombi ya kuhoji na kutaka ufafanuzi kwenye Mahakama Maalum ya Kikatiba juu ya muundo sahihi wa Muungano kwa kutumia ibara ya 125 ya Katiba.
Tofauti hizi kati yake na Mwalimu hazikwisha salama kwa Jumbe kuthubutu kukanyaga mahali “patakatifu” bila kuvua viatu. Jumbe alilazimishwa kuachia ngazi zote za uongozi wa nchi kuanzia Urais wa Zanzibar, Umakamu wa Rais wa Muungano, na nafasi zote za kichama Januari, 1984.

Utata mwingine huu uliibuka tena kwa nguvu mpya zaidi wakati Wabunge 55 (maarufu kama G55) wa Bunge la Muungano, walipowasilisha bungeni mwaka 1993, hoja ya kutaka kuundwa/kurejeshwa kwa Serikali ya Tanganyika kwa kukasirishwa na hatua ya Zanzibar kujiunga na OIC kama nchi huru nje ya Muungano, Desemba 1, 1992.
Ukweli, Bunge lilikuwa limekwisha kupitisha kwa kauli moja, Azimio la kuanzishwa kwa Serikali ya Tanganyika Agosti 24, 1993 kwa maana ya kuwa na Serikali ya Muungano inayoundwa na Serikali hai zenye Mamlaka huru, za Tanganyika na Zanzibar, kama vile tu alivyotaka Rais Jumbe mwaka 1983.
Hata hivyo, Azimio hilo lilipigwa rungu zito na Mwalimu Nyerere na likavunjika.. Na kama ilivyokuwa kwa Jumbe, hapa napo mambo hayakuisha salama; safari hii Waziri Mkuu wa wakati ule, John Malecela (hongera kwa kutimiza miaka 75) na Katibu Mkuu wa CCM, Horace Kolimba, walipoteza nyadhifa zao kwa sababu ya ama kunyamazia au kuunga mkono hoja / Azimio la G 55.

Suala langu hapa Je kulikuwa na Siri gani kwa St Nyerere kukataa kuundwa kwa Serikali ya Tanganyika ndani ya Muungano wenu wa Tanzania?

 
Nguruvi3.

Hakika mada au UZI huu umejikita zaidi katika Uhalisia na ndio nikaweka vitu halisi kabisa. Kwani niitegemea wewe useme kutokana na ushahidi nilioweka kuwa NYERERE hakupinga harakati zote hizo na hivyo nimemsingizia.

Lakin nakuona umetoka nje kidogo ya mada kwani kila unachobainisha kina uzi wake na nimekifafanua kwa kina sina kwa kila uzi mfa Baraza la Ahmed Rajab, Serikali ya Tanganyika kwanza kabla Katiba mpya, Mgawo wa Zanzibar katika BOT n.k

sasa punguza jazba nisome nimekusudia nini na kama una hoja basi Bismillah. usichanganye mada kwani kila kitu kina pahala pake.
 
M. Lumumba.

Siku zote ukiona mtu anaporomosha matusi katika mjadala basi ujue ameishiwa hoja au ameshindwa kujibu hoja.

Pole sana.
 
Robbert Nesta Marley (mmarufu kama Bob Marley) kwenye wimbo wake wa "Redemption song" alisema YOU CAN FOOL SOME PEOPLE SOMETIMES BUT YOU CAN'T FOOL ALL THE PEOPLE ALL THE TIME"




hayo maandishi ya bluu niliwahi kuyaone kwenye tambala katika viunga vya mji-mkongwe unguja mwaka 2005. sijajuwa kama hadi leo lile tambala lipo, ila kwenye wimbo wa Robert Nesta, wa Redemption Song, hakuna maneno kama hayo.

kama unataka lyrics, sema tukupatie sisi wafuasi wa reggae, siyo unakurupuka kutafuta umaarufu.
 
Ni vigumu sana kukushawishi barubaru kuwa waliokupandikiza kichwani mwako Chuki dhidi ya Nyerere na Watanganyika WALIKUDANGANYA.

Pole sana. Chuki yako itakukondesha tu...

Ni chuki gani hizo mkuu au mifano au hoja nilizobainisha kuhalalisha Kichwa cha habari zangu nimekuwa nimemsingizia marhum.

Niambie kama kuna chembe ya chuki katika mada yangu. Nipo tayari kuomba radhwi.

Nibainishie

 
Ni chuki gani hizo mkuu au mifano au hoja nilizobainisha kuhalalisha Kichwa cha habari zangu nimekuwa nimemsingizia marhum.

Niambie kama kuna chembe ya chuki katika mada yangu. Nipo tayari kuomba radhwi.

Nibainishie


Zanzibar ikijitenga Wa-Oman watarudi Zenji kwa ari,nguvu na kazi mpya.
 
Back
Top Bottom