Hoja za Mwalimu Nyerere kupinga serikali tatu Tanzania

Alikuwa anapunguza gharama i.e umeme, mishahara,etc. Hata hizi mbili bado ni gharama kubwa kwa Tanganyika! Tugawane mbao yaishe.
 
teh teh teh... WildCard, wengine wanasoma mambo nusu nusu tu ili kukidhi haja zao. Wanasahau nchi hii Nyerere alikuwa raia kama mwingine yoyote ila tu alikuwa amepewa dhamana ya uongozi. Na hatima ya nchi hii haiko kwenye mikono ya Nyerere bali iko kwenye mikono yetu sote kama raia.
Sasa kelele kuhusu muungano na Nyerere zinasaidia nini wakati kama hatuutaki muungano uwezo wa kuukataa uko kwenye mikono yetu na sio Nyerere aliyekufa miaka 13 iliyopita?

Ndahani,

Nilizobainisha ni harakati za kuunda Serikali ya Tanganyika ndani ya Muungano wenu. Na harakati hizo zote mbili zilikwamishwa na St Nyerere.

Sasa kwa kuwa yeye ndiye aliyekuwa muasisi wa Muungano wenu. Sasa suala langu linadondokea hapo KWANINI ALIKATAA KUUNDWA KWA SERIKALI YA TANGANYIKA NDANI YA MUUNGANO WA TZ?
 
Ndahani,

Nilizobainisha ni harakati za kuunda Serikali ya Tanganyika ndani ya Muungano wenu. Na harakati hizo zote mbili zilikwamishwa na St Nyerere.

Sasa kwa kuwa yeye ndiye aliyekuwa muasisi wa Muungano wenu. Sasa suala langu linadondokea hapo KWANINI ALIKATAA KUUNDWA KWA SERIKALI YA TANGANYIKA NDANI YA MUUNGANO WA TZ?

Do you wage a war with the deceased Nyerere or you want to change union's status quo? Those two issues are very different and not compatible at all. Ninachokiona ni personal grudges against Nyerere na sio muungano na matatizo yake kama tunavyoambiwa. By the way, wazanzibar kama partners wa muungano wanaweza kuuvunjilia mbali kwa kukataa kuendelea kuwa sehemu ya muungano. Mnachelea nini kuchukua hatua hizo???????

Mkiuvunja muungano you will have platform to talk all those you think against Nyerere. Hapa tulipo ni uongo na unafiki na tamaa ya madaraka tu ndio inakuwa msukumo wa makelele mengi tunayoyasikia.
 
Barubaru,
Waambie BLW wafanye marekebisho ya jina la NCHI yao lisomeke kama ilivyokuwa kabla ya tarehe 26.4.1964, yaani Jamhuri ya Zanzibar. Badiliko hili ni muhimu kwa kuwa Zanzibar sasa ni NCHI na mipaka yake imo ndani ya KATIBA yao!
 
Buji Buji,

Si unajua kwenda kuliangalia Kabuli la St Nyerere ni lazima ulipe kiingilio. Sasa mimi sina pesa za Kiingilio.

Na siwezi hata siku moja kutoa pesa yangu ili kwenda kuona Kabuli. Hata nilipotembelea Agra (UP) kule India, kuona Taj Mahal sikulipa kiingilio.

lakin ni suala la msingi sana hususan kwa WaDanganyika.


Kabuli ndio nini ndugu Mwarabu?
 
Ndahani,

Nilizobainisha ni harakati za kuunda Serikali ya Tanganyika ndani ya Muungano wenu. Na harakati hizo zote mbili zilikwamishwa na St Nyerere.

Sasa kwa kuwa yeye ndiye aliyekuwa muasisi wa Muungano wenu. Sasa suala langu linadondokea hapo KWANINI ALIKATAA KUUNDWA KWA SERIKALI YA TANGANYIKA NDANI YA MUUNGANO WA TZ?
Soma Post No. 13 hapo juu au haulitaki jibu hilo?
 
Do you wage a war fighting the deceased Nyerere or you want to change union's status quo? Those two issues are very different and not compatible at all. Ninachokiona ni personal grudges against Nyerere na sio muungano na matatizo yake kama tunavyoambiwa. By the way, wazanzibar kama partners wa muungano wanaweza kuuvunjilia mbali kwa kukataa kuendelea kuwa sehemu ya muungano. Mnachelea nini kuchukua hatua hizo???????

Mkiuvunja muungano you will have platform to talk all those you think against Nyerere. Hapa tulipo ni uongo na unafiki na tamaa ya madaraka tu ndio inakuwa msukumo wa makelele mengi tunayoyasikia.

Nilipo RED.

Hata waTanganyika mna nafasi hiyo na kikubwa zaidi mnapaswa kudai utaifa wenu ndani ya Muungano wenu.

Au kwa kuwa St Nyerere alikataa katakata Serikali ya Tanganyika nani ndio mpo naye kwa hilo? Suala linarudi pale pale kwanini mnakataa kuundwa kwa Serikali yenu ndani ya Muungano?



 
Nilipo RED.

Hata waTanganyika mna nafasi hiyo na kikubwa zaidi mnapaswa kudai utaifa wenu ndani ya Muungano wenu.

Au kwa kuwa St Nyerere alikataa katakata Serikali ya Tanganyika nani ndio mpo naye kwa hilo? Suala linarudi pale pale kwanini mnakataa kuundwa kwa Serikali yenu ndani ya Muungano?



Muungano wa kila watu na UTAIFA wao ni muungano kweli? Muungano wa aina hii uko wapi hapa duniani?
 
Nilipo RED.

Hata waTanganyika mna nafasi hiyo na kikubwa zaidi mnapaswa kudai utaifa wenu ndani ya Muungano wenu.

Au kwa kuwa St Nyerere alikataa katakata Serikali ya Tanganyika nani ndio mpo naye kwa hilo? Suala linarudi pale pale kwanini mnakataa kuundwa kwa Serikali yenu ndani ya Muungano?




We don't have anything to lose...nyinyi mnaolia lia mnadhulumiwa ndio mnapaswa kuamua hima hima mtoke haraka. Mlalamike nyie, sisi ndio tuamue? Ustaarabu wa wapi huo?
 
We don't have anything to lose...nyinyi mnaolia lia mnadhulumiwa ndio mnapaswa kuamua hima hima mtoke haraka. Mlalamike nyie, sisi ndio tuamue? Ustaarabu wa wapi huo?

Je unajuwa kati ya wale wabunge 55 waliodai Serikali ya Tanganyika. Wa Znz walikuwa wangapi?

je unajuwa kwanini walidai Serikali ya Tanganyika?



 
Basi suala langu wala halijagusa Muungano wenu.

Kama umenisoma vizuri nimepita nje ya Muungano wenu na ndio maana nikabainisha harakati za kuundwa kwa Serikali ya Tanganyika ndani ya muungano.

Suala langu nimeuliza Hivi KWANINI NYERERE ALIKANA KUANZISHWA KWA SERIKALI YA TANGANYIKA NDANI YA MUUNGANO?

ALIKUWA NA SIRI GANI?
 
si mkachukue haka ka Zanzibar kenu muondoke nako bana,..dunia hii ni ya watu wenye akili!
 
Basi suala langu wala halijagusa Muungano wenu.

Kama umenisoma vizuri nimepita nje ya Muungano wenu na ndio maana nikabainisha harakati za kuundwa kwa Serikali ya Tanganyika ndani ya muungano.

Suala langu nimeuliza Hivi KWANINI NYERERE ALIKANA KUANZISHWA KWA SERIKALI YA TANGANYIKA NDANI YA MUUNGANO?

ALIKUWA NA SIRI GANI?
Serikali ya Tanganyika haikuhitajika tangu tarehe 26.04.1964. Kama ambavyo TANU na ASP havikuhitajika tena baada ya CCM kuundwa. Mnaitaka sasa ili iweje? Msiwapotezee muda WaZanzibari. CUF ina WABUNGE wa kutosha ndani ya Bunge la JMT. Walete hoja ya kuumaliza MUUNGANO haraka. BLW halitamsaidia Jussa au yeyote mwingine kulimaliza suala hili kama mnavyotaka.
 
Basi suala langu wala halijagusa Muungano wenu.

Kama umenisoma vizuri nimepita nje ya Muungano wenu na ndio maana nikabainisha harakati za kuundwa kwa Serikali ya Tanganyika ndani ya muungano.

Suala langu nimeuliza Hivi KWANINI NYERERE ALIKANA KUANZISHWA KWA SERIKALI YA TANGANYIKA NDANI YA MUUNGANO?

ALIKUWA NA SIRI GANI?


Ulishajibiwa kuwa Watanzania Bara hawana haja na serikali ya Tanganyika ndani ya Muungano. Wenye haja ni wale wa Zanzibari ambao wanaona kuwamo ndani ya Muungano is a burden.

Wale G55 members walidai uwepo wa serikali ya Tanganyika kwa hasira za mtu mmoja aliyekuwa anaitwa Salmin. Na hapo ndipo waliposhindwa attempting to do a sensitive issue based on emotions against facts. Crafting another governement in the existing structure based on one element could not hold water. It was a matter of logic and principle that Mwalimu used to belittle the G55. Zanzibar kuijinga na OIC was something debatable and that could have been suppresed by the then President had he been able to stand as a leader but not as yes man to whatever came to him. Yawezekana yako mambo ya msingi ambayo yanaweza kuwekwa mezani na kuona if having Serikali ya Tanganyika can add value to social, political and economic set up. Sio kukurupuka kuwa hawa wana bendera sisi hatuna, wana wimbo wa Taifa hatuna, wana uwakilishi UN sisi hatuna. Mwananchi wa kawaida ambaye hajui kesho atakula nini inamsaidia nini. Frank Fanon wakati anapingana na wanamapinduzi waliojipambanua kupitia Negritude. " Fanon thus angrily rejected the 'return to the origins' thesis of the old negritude. For him this was but a 'futule and desperate attempt by an alienated elite to recapture contact with the masses'He continues:

'These leaders will not.They will not, bacause they ...........do not direct their propaganda towards the rural masses..... They do not go out to find the masses of the people. They do not put their theoretical knowledge to the service of the people; they only erect a framework around the people which follows a prior schedule'.

Ndio maana Mwalimu a philosopher genius could not tolerate people who could be ready to do changes that did not adress the problems that poor masses especially those restrocted in the rural areas faced. It was but a logic na ndio maana hakuwa na madaraka wala mamlaka lakini alieleweka. Sasa wale G55 wanatakiwa waje na concrete facts that address the problems of the Tanzanians in diversity na hasa wakati huu ni mwafaka as we heading for constitutional change. Let them support Tindu Lissu if they meant to walk the talk
 
Basi suala langu wala halijagusa Muungano wenu.

Kama umenisoma vizuri nimepita nje ya Muungano wenu na ndio maana nikabainisha harakati za kuundwa kwa Serikali ya Tanganyika ndani ya muungano.

Suala langu nimeuliza Hivi KWANINI NYERERE ALIKANA KUANZISHWA KWA SERIKALI YA TANGANYIKA NDANI YA MUUNGANO?

ALIKUWA NA SIRI GANI?

Hili swali lako limekaa kinajimu zaidi...kama una facts si uzieleze kuliko kutaka watu wakupigie lamli.
 
Nyerere alikuwa mnafiki. Kujipendekeza kwa wanzibari eti kuwapa serikali yao na kuua utanganyika. Simuelewi alikusudia nini.
 
Back
Top Bottom