Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Mleta mada anachotaka hapa kujaribu ku devide watu wachangie mada in a different perspective.
Hajui kwamba Zitto ni product ya CHADEMA, alijiunga na chama akiwa na miaka 16, na hajawahi kuwa mwanachama wa chama kingine zaidi ya CDM.
Zitto personally anaweza kuwa na mapungufu yake kama binadamu, sasa kuna members humu wanataka kupotosha wachangiaji wengine kwa kutumia reference ambazo hazina link na current situation
Hajui kwamba Zitto ni product ya CHADEMA, alijiunga na chama akiwa na miaka 16, na hajawahi kuwa mwanachama wa chama kingine zaidi ya CDM.
Zitto personally anaweza kuwa na mapungufu yake kama binadamu, sasa kuna members humu wanataka kupotosha wachangiaji wengine kwa kutumia reference ambazo hazina link na current situation