ushasema jeshi so ni wazi hakunaga jeshi la mtu mmoja lakini haimaanshi hii ni hoja ya chadema no,ni hoja ya wabunge kufuatia ripoti ya cag ndio maana mnaona kuna sahihi mpaka ya mrema na cuf ambao hamuishi kuwatukana humu kwamba wameolewa na ccm kama mnavyompondaga zitto kwa kumuita kibaraka wa ccm,leo ndio huyo kashirikiana na wabunge wenzake kutoka vyama vyote
huyu kim ni wa kumpuuza kama lusinde
Ushasema jeshi so ni wazi hakunaga jeshi la mtu mmoja lakini haimaanshi hii ni hoja ya chadema no,ni hoja ya wabunge kufuatia ripoti ya CAG ndio maana mnaona kuna sahihi mpaka ya mrema na cuf ambao hamuishi kuwatukana humu kwamba wameolewa na ccm kama mnavyompondaga zitto kwa kumuita kibaraka wa ccm,leo ndio huyo kashirikiana na wabunge wenzake kutoka vyama vyote