Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,422
- 911,172
- Thread starter
- #141
Tanzania inatisha unavaa koti hili likichafuka unabadili unarudi kwenye ulingo. Hizi ndiyo siasa zetu, kinachotakiwa ni mabadiliko ya kweli kwenye eneo la Makatibu wakuu, Wakurugenzi wa Serikali za Mitaa na Wamashirika ya umma wakiendelea basi kwenye siasa itabaki kubadili makoti nasi tukaendelea kuumia. HOJA YA ZITTO IMEIMARIKA. Mimi nilitegemea mabadiliko yataanza na kuwawajibisha waliotajwa kutuhujumu.
[MENTION]Anadetus[/MENTION].......tz ni ubabaishaji mwingi maneno maneno matupu hayavunji mfupa..................lakini siye tunaamini maneno matupu ambayo hayatupeleki popote pale..........