KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 86
Njaa inamsumbua kweli!
Aende amuulize Rafiki yetu aliyekuwa na Jezi KIJANI no. mbili wakati wa Mkapa, tena na nafasi kubwa kubwa tu zaidi ya aliyonayo.
KADAKADA: mshauri huyo Rafiki yako TAMBWE Badala ya kupoteza muda na MAFISADI ajenge taifa litakalomsaidia yeye na vitukuu vyake shauri yake.
nimshauri au tumshauri, maana haniletei mie peke yangu hayo maendeleo bali mie na weye, wale na wao !