Hoja ya Tundu Lissu yaigawa NCCR bungeni

Yah ni complaint na ndio maana tunasema ilibidi usomwe kwa mara ya kwanza ili ammbo kama hayo ya propotionalitity yajadiliwe ikiwa pamoja na sifa an kila kilichokosolewa.kwanza utambue kosa hiyo ni moja ya utatuzi wa tatizo,then njoo mezani tutafute alternative.
Sasa watu ahta tatizo hamlioni,mtalitatuaje????
Tatizo ni uwakilishi wa wananchi, kama upinzani utakuwa na proportion sawa na CCM, wananchi watakuwa hawajatendewa haki.
Pili, bunge huwakilisha majimbo, kwa mfano Mnyika peke yake ameridhiwa na wananchi wengi zaidi ya karibu wabunge wote wa CUF.
Ni rais peke yake ndiye aliyeridhiwa na wanchi wengi, ndiye mwkshi wa Taifa.
Tatu, wananchi watapiga kura ya kukataa au kukubali katiba mpya, hii itachukua maka karibu kumi, kwa hiyo sioni nukta ya hiyo hotuba ya Lisu.
 
hakuna wazo mbadala lililotolewa, ukisema kwamba unapendekeza vyama vya siasa, wasomi na ngos, bado hujasema specifically how you gonna get intellectuals, who is to appoint those intellectuals, and how?
Je, 83% ya hiyo kamati itaundwa na wabunge wa ccm?, how many intellectuals and ngos, religious lewaders? In what proportion?
Hiyo hotuba aielezi chochote kuhusu composition in terms of proportionality..... In short is just a complaint rather than an alternative solution.
Usituletee ushabiki hapa!

good...
 
Tlp na Cuf wamejidhihirisha kuwa wao ni Magamba, Hongereni CHADEMA kwa kusoma nyakati
 
Tatizo ni uwakilishi wa wananchi, kama upinzani utakuwa na proportion sawa na CCM, wananchi watakuwa hawajatendewa haki.
Pili, bunge huwakilisha majimbo, kwa mfano Mnyika peke yake ameridhiwa na wananchi wengi zaidi ya karibu wabunge wote wa CUF.
Ni rais peke yake ndiye aliyeridhiwa na wanchi wengi, ndiye mwkshi wa Taifa.
Tatu, wananchi watapiga kura ya kukataa au kukubali katiba mpya, hii itachukua maka karibu kumi, kwa hiyo sioni nukta ya hiyo hotuba ya Lisu.

Tunaongea lugha moja ila tunaachana katikati ya mistari,

Nne, raisi atachagua makada wa chama kuanzia wajumbe mpaka wenyekiti na katibu,
Kuna pendekezo la jukwaa la katiba(refer katibaforum) ya kuwa kwenye huu mswada tuweke ni makundi yapi na kwa idadi ipi yanatakiwa kutoa wawakililishi alafu kila kundi kwa utaratibu wake watachagua wawakilishi kuanzia vyama vya siasa,kijamii,dini makundi ya watu wenye mahitaji maalum n.k

Hii ilikuwa njia sahihi na pia lissu katoa pendekezo la katibu aombe kazi na ajira yake itoLewe na tume sio raisi,pia wajumbe wa tume walindwe na sheria kama majaji,kuna mengi ila soma na uelewe maoni ya lissu yanasema karibia kila kitu tunachohitaji.Ndio amana tunasema serikali ijumuishe maoni ya wadau mbalimbali sio wanasiasa tu,kifupi wasituandikie(ccm) katiba. Waache tuandike.

Hiyo ahbari ya miaka kumi itakuuwa habari ay kugomea kona wakati penalt umekubali.
 
Kwa mbunge kijana Machalii nadhani tatizo ni kumsikiliza Mbatia,kwa upande wa Agripina Buyogela sidhani kama hata anaelewa nini maana ya Katiba Mpya. Kwa akina Mrema na Cheyo hawa kila mtu anaelewa matatizo yao. Wanakula wamekwisha kabisa. Wabunge ambao nashindwa kuwaelewa kabisa ni CUF ambao ningetarajia baada ya aibu ya Igunga wajipange upya na hasa wale wanaotoka huku bara,wameshindwa tena kusoma watanzania wanataka nini. CUF inazidi jichimbia ktk kaburi la kisiasa,na CCM haitakua na huruma kuwafukia siku itakapotimia!


Kwa mujibu wa maelezo aliyotoa Mh Lissu cuf wanafaidika kutokana na huo muswada uliosomwa, watajitengenezea upinzani wa nguvu kwa kuteuliwa wabunge wa uwakilishi wa bunge la katiba hivyo kuwazidi CDM na kwa hilo lazima washangilie kwa nguvu zote, na sisiem wanaona bora hivyo maana tayari wana ndoa nao hivyo wanasikilizana yaani wamesha vunja nguvu ya upinzani through cuf,

sasa sisi watanganyika tunatolewa kwenye ligi kwa kutengenezewa wawakilishi wa zanzibari katika nguvu ya kuipitisha katiba mpya huko mjengoni kwa kweli hapa tunalazimika kua macho maana haya wanayodai eti tusihofu huu sio mjadala wa kutunga katiba mpya ni kwamba wanatupiga changa la macho by the time unafika wakati wa kujadili katiba mpya hatuna letu maana kwa huu muswada watakua na nguvu na kura za kupitisha watakachi kisheria na wakati huo hatutakua na nafasi tena kupinga ama kubishana na maamuzi maana kwa wakati huo yatakua yanafanyika kisheria.

WAKE UP PEOPLES.
 
Tunaongea lugha moja ila tunaachana katikati ya mistari,
Nne, raisi atachagua makada wa chama kuanzia wajumbe mpaka wenyekiti na katibu,
Kuna pendekezo la jukwaa la katiba(refer katibaforum) ya kuwa kwenye huu mswada tuweke ni makundi yapi na kwa idadi ipi yanatakiwa kutoa wawakililishi alafu kila kundi kwa utaratibu wake watachagua wawakilishi kuanzia vyama vya siasa,kijamii,dini makundi ya watu wenye mahitaji maalum n.k
Hii ilikuwa njia sahihi na pia lissu katoa pendekezo la katibu aombe kazi na ajira yake itoLewe na tume sio raisi,pia wajumbe wa tume walindwe na sheria kama majaji,kuna mengi ila soma na uelewe maoni ya lissu yanasema karibia kila kitu tunachohitaji.Ndio amana tunasema serikali ijumuishe maoni ya wadau mbalimbali sio wanasiasa tu,kifupi wasituandikie(ccm) katiba. Waache tuandike. Hiyo ahbari ya miaka kumi itakuuwa habari ay kugomea kona wakati penalt umekubali.
Hapo kwenye nyekundu... It's ethical but impractical, kwa mfano tu hebu nieleze jinsi kundi mojawapo linavyoweza kuchagua mwakilishi wake, just tell me the process. Tuseme wawakilishi kutoka kundi la dini, hebu chakachua jinsi watakavyopata wawakilishi wao.... je, how many? or in what proportion hao wadini watawakilishwa compared to let say Political parties?, Na ni nani atawachagua?, waumini au Mkuu wa kambi ya upinzani?
 
Hapo kwenye nyekundu... It's ethical but impractical, kwa mfano tu hebu nieleze jinsi kundi mojawapo linavyoweza kuchagua mwakilishi wake, just tell me the process. Tuseme wawakilishi kutoka kundi la dini, hebu chakachua jinsi watakavyopata wawakilishi wao.... je, how many? or in what proportion hao wadini watawakilishwa compared to let say Political parties?, Na ni nani atawachagua?, waumini au Mkuu wa kambi ya upinzani?
Dah we jamaa unatumia masaburi kufikiri? Kwani viongozi wa dini wanachaguliwaje? Kama askofu mkuu, sheikh nk? Kwani wanapigiwa kula na waumini?
 
Mbona tunapenda kulalamika kama mazezeta?..... NANI ATEUE/CHAGUE TUME YA KUKUSANYA MAONI?

Ndugu na wewe ujaribu kutumia bongo yako kuelewa maelezo yaliyotolewa ya upinzani na Lissu, hayaji kama picha ya sinema, hapo issue siyo nani ateue tume, ni miongozo ya uteuzi wa hiyo tume na miongozo ya uhuru na ulinzi wa wana tume kutokuingiliwa na influence ya external bodies zenye interest katika katiba ili kutokuingilia kazi za tume, ndio maana ya kusema madaraka makubwa(uhuru) ya uteuzi, uongozi na maamuzi kwa tume aliyopewa raisi sio sahihi, raisi nae ni binadamu tuu kama sisi wengine hivyo ni muhimu kuwepo na muongozo wa uteuzi wa tume hiyo (regardless ni nani mteuzi), wenye sura ya uhuru, haki, usawa na ulinzi wa hiyo body (tume) kufanya kazi kitaifa zaidi na sio kisiasa wala kichama, uhuru huo na ulinzi wa tume kisheria ndiyo utawezesha upatikanaji wa maoni mbalimbali kitaifa kutoka makundi mbalimbali kijamii ktk mapendekezo ya uundwaji wa hiyo katiba mpya.
 
Natumai watakuja kusoma upepo vizuri pale wanaharakati tutakapowasha moto wa kuupinga huu muswada kwa njia ya maandamano na uelimishaji. Ndipo watakapo elewa kama tz ya leo ni ya ndiyo mzee au ni wa watu wanaofikiria kwa masilahi ya taifa la miaka 50 ijayo.
 
Mbona tunapenda kulalamika kama mazezeta?..... NANI ATEUE/CHAGUE TUME YA KUKUSANYA MAONI?

Kila kundi litakalohusishwa kwenye mchakato liteue wajumbe wake mfano Bakwata x members; Vyama vya wafanyakazi Y members; TANGO Z members nk.
 
Wabunge wa Chama cha NCCR Mageuzi wamegawanyika bungeni jioni ya leo baada ya hoja ya Mh.Tundu Lissu.
Baada ya hoja hiyo, wabunge David Kafulila wa Kigoma Kusini na Felix Mkosamali wa Muhambwe wameungana na wabunge wa CHADEMA kutoka nje huku wabunge Agripina Buyogela na Mosses Machali wamebaki ndani kushirikiana na CCM (MAGAMBA) katika mjadala unaoendelea.

Ni wazi ya kuwa kubaki kwa wabunge hao wawili wa NCCR Mageuzi ndani ya Bunge kujadili jambo ambalo wabunge wenzao wa Upinzani wanalipinga kunadhihirishia Umma jinsi gani wao ni CCM-B na huenda uamuzi wao huo ni maelekezo ya Bw. James Mbatia ambaye huyu ndugu yetu Machali anamtetea muda wote na kuwalaani wenzie kuwa wanakosea kumwondoa madarakani.

Mgawanyiko huu unaleta maswali juu ya wabunge hawa wa upinzani hususan NCCR Mageuzi;
  1. Je inawezekana kweli upinzani unatumiwa na MAGAMBA kuleta mpasuko Bungeni kwa faida yao na si ya Umma?
  2. Je, hali hii iliyojionyesha mapema ya kufarakana kwa NCCR katikati ya mchakato wa kuelekea Katiba Mpya na vyama vingine vya upinzani (TLP na CUF) kukubaliana na CCM juu ya MUSWADA wa Katiba ambao hauonyeshi dhamira ya dhati ya upatikanaji wa TUME adilifu kusimamia uundwaji wa KATIBA MPYA utatupatia KATIBA tunayoitazamia?
  3. Tutarajie Tanzania gani baada ya mchakato huu kuisha?
Wana jamii naomba kuwasilisha!


Tutaipata katiba wanayoitaka magamba yakuendelea kutukandamiza waTZ
 
Matukio kama haya yanatusaidia kujua wapinzani na CCM B. Dr Mrema kabwabwaja mpaka akamwita Speaker 'mh. Mungu' wakati wenzake wametoka, tutamuita huyu mpinzani kweli?
Huyo Machali nae ni walewale, kibaraka wa mkt wake Mbatia, kazua mjadala hapa JF wa kwamba Zitto na Kafulila wanataka kuivuruga NCCR wanajamvi nao bila kuchambua mambo kiundani wakaweka chuki mbele na kumshambulia Zitto. Uzuri wa unafiki huwa unaumbuka ndani ya muda mfupi tu.
Big up CDM, msikubali kuburuzwa bungeni, maoni yenu muhimu kwa maendeleo ya taifa letu, katiba ni dira muhimu sana kizazi na kizazi.

nawasikitikia hawa wabunge wa NCCR mageuzi ya mrema ambao wameaminiwa na wapigakura wa p[ale murusi, murufiti, titye, nyasha/kilombero, kidyama, kanazi rusesa, muzye, kundutsi, kijana, heru juu, muganza na kwingine ambako watu wanaihitaji katiba mpya iliyoundwa na watanzania wenyewe.

Itawagarimu kurdisha imani ya watu wa maeneo hayo kwani Machali anawafahamu kama vijana wa Murufiti walivyomsaidia, sasa anaoneka kuwatosa. Niwajuavyo, na yeye watamtosa tu, mda si mrefu.
 
nawasikitikia hawa wabunge wa NCCR mageuzi ya mrema ambao wameaminiwa na wapigakura wa p[ale murusi, murufiti, titye, nyasha/kilombero, kidyama, kanazi rusesa, muzye, kundutsi, kijana, heru juu, muganza na kwingine ambako watu wanaihitaji katiba mpya iliyoundwa na watanzania wenyewe.

Itawagarimu kurdisha imani ya watu wa maeneo hayo kwani Machali anawafahamu kama vijana wa Murufiti walivyomsaidia, sasa anaoneka kuwatosa. Niwajuavyo, na yeye watamtosa tu, mda si mrefu.

kuongea huku unakula chakula ni bad table manners
 
Hivi watanzania bado kweli mna imani na raisi ambaye amepindisha sheria za nchi mara nyingi tu?rejeeni suala la ufisadi wa EPA,Rada,Kiwira,Richmond,na mengine mengi,na kwa reference ya ufisadi uliokwisha tendeka nchini na yeye raisi kushindwa kushughulikia kwa lengo la kuwalinda hao mnadhani kuna haki na ukweli katika madaraka yote anayotarajiwa kupewa raisi.acheni kuongopeana kuna tatizo kubwa hapa.

Ni kweli kuna tatizo hapa na kama hatutolivalia njuga sasa hivi na kulitokomeza basi huko mbeleni litatuangamiza, wabunge wa upinzani wakaze buti ndo wakati wao wa kudhihirishia Umma kuwa wanaweza kusimamia maslahi yetu regardless ya uchache wao bungeni.
 
Hali ni mbaya kisiasa kwa nini tufike hapa ilihali uwezo wa kutatua tatizo upo mikononi mwetu ninaona kiona hapa ni dharau tu
 
Naungana mkono na wadau, jamani wapinzani baadhi wameshanunuliwa na MAGAMBA tukaeni macho, itakapobidi kuingia barabarani na tuwe tayari maana hilo BUNGE LA KATIBA litakaloenda kuundwa na Rais sina imani nalo hata chembe.
Uchaguzi wa Tume urudishwe kwa wananchi upitishwe na wabunge kwa namna ambayo Kafulila amependekeza.

fwafwanua hapo yaani tupige kura kuchagua tume au? halafu katiba iandikwe lini? we have only four years remaining!! halafu kazi ya bunge ni hiyo?
 
TLP lazima wawe ni CCM kwa kuwa kiongozi wao ni kada wa siku nyingi na usalama wa watawala aliyebobea.
 
Back
Top Bottom