Hoja ya Shossi juu ya sh. 500/- ya babu

Daaah!

Ila sikutegemea kabisa yaani.
Juzi tu hapa tulikuwa kwenye MBINU ZA UTONGOZAJI na ukachambua namna ya mtu kujitambua kama umeshatongozwa. Tena tukasema waziwazi MWANAMKE ANAKUWA ANAKUCHORA CHORA KIFUANI???
:smash::smash::smash::smash:

Leo tupo kwenye kuhubiri UTAKATIFU NA MAANDIKO YAKE huku tukihukumu wenzetu na kuwanyooshea vidole???
Hivi ya kwetu ya MBINU ZA UTONGOZAJI tunayakumbuka??? Tumetubu??? Tumeacha kwenda kuchangia mbinu mbalimbali kule uwanja wa AT YOUR OWN RISK???? Tumejiona tulivyo wachafu kabla ya kuchafua wenzetu??? Au huu ndio U Great thinker????
 
Daaah!

Ila sikutegemea kabisa yaani.
Juzi tu hapa tulikuwa kwenye MBINU ZA UTONGOZAJI na ukachambua namna ya mtu kujitambua kama umeshatongozwa. Tena tukasema waziwazi MWANAMKE ANAKUWA ANAKUCHORA CHORA KIFUANI???
:smash::smash::smash::smash:

Leo tupo kwenye kuhubiri UTAKATIFU NA MAANDIKO YAKE huku tukihukumu wenzetu na kuwanyooshea vidole???
Hivi ya kwetu ya MBINU ZA UTONGOZAJI tunayakumbuka??? Tumetubu??? Tumeacha kwenda kuchangia mbinu mbalimbali kule uwanja wa AT YOUR OWN RISK???? Tumejiona tulivyo wachafu kabla ya kuchafua wenzetu??? Au huu ndio U Great thinker????

Huwezi jua bana, labda nayo ni ufunuo au miujiza pia!
 
  • Thanks
Reactions: CPU
Ndibalema, Hivi kitabu kikuu kabisa cha Kikristo cha Biblia ambacho yote tunayonukuu na kubishania hapa kinatoka kwayo kwa nini kimepangwa bei ya kukinunulia?? Kwa nini kila Mtu asikinunue kulingana na Uwezo wake?? Kitabu cha Nyimbo za Kikristo je? Wa mia tatu, Apewe. Wa alfu Mbili anunue na wa Alfu, Sita Saba naye pia anunue kwa bei hiyo??
Watakwambia hivyo havitibu magonjwa sugu, kile tu kinachotibu magonja sugu ndo hakitakiwi kupangiwa bei...
hivi ulishawasikiliza hao kina mwingira and Co. wanavyochukua muda mwingi kuhubiri sadaka? yaani hata kama huna yaani kwa mahubiri yale mpaka mtu unjisikia vibaya!!
 
ndugu pakajimmy,

hatukejeli wanaopata faraja huko kwa babu kutokana na magonjwa na madhaifu mbalimbali, la hasha. tunawashauri wapendwa wetu wasome na kufahamu ukweli juu ya nini yaliyo mapenzi na makusudi ya Mungu kama yalivyobainishwa ndani ya biblia na wapime na kujaribu kila roho kama inatokana na Mungu.

hivi kuna mtu huko samunge aliyepata majaribu kumshinda ayubu? mbona ayubu alikataa kumkufuru Mungu? iweje maelfu huko samunge wawe tayari kumdhihaki Mungu kwa sababu ya BP, cancer, ukimwi nk, eti kwa kupokea kikombe cha mchungaji mstaafu!

mwenye imani ya kweli na iliyojengwa kwenye neno (siyo iliyojengwa kwenye miujiza) atamtukuza Mungu hata apate mateso kiasi gani. atamtukuza Mungu hata katikati ya mateso, naam hata kama atamiminwa damu na kufa kama shahidi (martyr). imani yenu iko wapi sasa?

mimi niko tayri kuishi na majaribu ya ukimwi na mengineyo sugu lakini sio kumkufuru Mungu kiasi hicho cha samunge. ee Mwenyezi Mungu naomba nisaidie

Glory to God
hii ni kali kweli kweli. kuwaona watumishi wa mungu katika makanisa yote ni gharama. mfano ubungo, mwenge, mbezi. mikocheni na kadhalika. mimi nahitaji huduma na ninakaa buyuni -chanika . kutoka buyuni mpaka mwenge ni shilingi 2600 kwenda na kurudi. (mpaka ubungo 2000 kwenda na kurudi). ( mpaka mikocheni 3000 kwenda na kurudi). Kwa huyu mtanzania mwenye shida na dhiki hawezi kuhudhuria hizo ibada za uponyaji kutokana na kukosa nauli tu. mbona makanisa mengine ( ------) yapo kila kata na kitongoji ili kuwafikia waumini wake kwa urahisi. wala hauhijati kupanda gari miguu tu inatosha. Sema tu watumishi wa mungu biashara yao imekuwa ngumu. ole wao watumiao dini kama biashara maana adhabu anaijua mungu mwenyewe.
 
Duh huko 'at your own risk' mpaka wachamungu wapo kumbe?

Kweli mimi under 18! .......



Daaah!

Ila sikutegemea kabisa yaani.
Juzi tu hapa tulikuwa kwenye MBINU ZA UTONGOZAJI na ukachambua namna ya mtu kujitambua kama umeshatongozwa. Tena tukasema waziwazi MWANAMKE ANAKUWA ANAKUCHORA CHORA KIFUANI???
:smash::smash::smash::smash:

Leo tupo kwenye kuhubiri UTAKATIFU NA MAANDIKO YAKE huku tukihukumu wenzetu na kuwanyooshea vidole???
Hivi ya kwetu ya MBINU ZA UTONGOZAJI tunayakumbuka??? Tumetubu??? Tumeacha kwenda kuchangia mbinu mbalimbali kule uwanja wa AT YOUR OWN RISK???? Tumejiona tulivyo wachafu kabla ya kuchafua wenzetu??? Au huu ndio U Great thinker????
 
Duh huko 'at your own risk' mpaka wachamungu wapo kumbe?

Kweli mimi under 18! .......
Mwalimu nakusalimu, nakwambia JF kuna mambo makubwa siku hizi yote hayo kaleta Babu....Watu wanatoka povu na babu hata sijui kwa nini!
 
Huwezi jua bana, labda nayo ni ufunuo au miujiza pia!

Mkuu.
Itabidi unigharamie hiyo 500/- niende kwa babu kuzitibu endapo ikitokea umezivunja mbavu zangu, nina wanasheria machachari watakushughulikia endapo utakwepa huu mzigo wa kulipa 500/-

Yaani mtu amefunuliwa MBINU ZA KUTONGOZA MIDUME kwa kuichorachora kifuani??
Then ndio dawa ya magonjwa sugu (ya kutongoza)??
Mkuu mi sipendi, nakupa sekunde 5 unitake radhi
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Tabu kweli kweli Kimey.

Asiyeamini na aendelee kutoamini lakini awaache wenye kuamini waendelee nako. Akipata dhambi ni zake huyo Babu kama wale wanavyoendelea na dhambi huko "at your own risk".

Au kule sio dhambi?

Mwalimu nakusalimu, nakwambia JF kuna mambo makubwa siku hizi yote hayo kaleta Babu....Watu wanatoka povu na babu hata sijui kwa nini!
 
Duh huko 'at your own risk' mpaka wachamungu wapo kumbe?

Kweli mimi under 18! .......

Mwalimu (ngoja na mimi nikuite mwalimu, maana mpaka Komredi Kimey kakuita TICHA basi si haba)
Naomba unifundishe na mimi niwe anda 18 kuanzia leo, haya ya abavu 18 yamenishinda:tongue:
 
Duh CPU naona unatoa siri za chumba cha wakubwa nje. Lakini kwa vile ushasema naomba ufafanuzi wa huko kuchorachora, huenda nami ujuzi ukanisaidia!

Mkuu.
Itabidi unigharamie hiyo 500/- niende kwa babu kuzitibu endapo ikitokea umezivunja mbavu zangu, nina wanasheria machachari watakushughulikia endapo utakwepa huu mzigo wa kulipa 500/-

Yaani mtu amefunuliwa MBINU ZA KUTONGOZA MIDUME kwa kuichorachora kifuani??
Then ndio dawa ya magonjwa sugu (ya kutongoza)??
Mkuu mi sipendi, nakupa sekunde 5 unitake radhi
 
Tabu kweli kweli Kimey.

Asiyeamini na aendelee kutoamini lakini awaache wenye kuamini waendelee nako. Akipata dhambi ni zake huyo Babu kama wale wanavyoendelea na dhambi huko "at your own risk".

Au kule sio dhambi?
Mi kinachonishangaza ni wao kutoka Povu wakati hawaamini, Mungu amempa kila mtu uelewa wa kutafakari mambo! sasa sijui Povu linataka hapa kwa nini?

Hapo kwenye RED yaani unakuta anashabikia kabisa Soooo Nice Wish I could get one of this Kind lol
 
Mwalimu (ngoja na mimi nikuite mwalimu, maana mpaka Komredi Kimey kakuita TICHA basi si haba)
Naomba unifundishe na mimi niwe anda 18 kuanzia leo, haya ya abavu 18 yamenishinda:tongue:
Mkuu Heshima yako na wewe!!!
 
  • Thanks
Reactions: CPU
Mwalimu (ngoja na mimi nikuite mwalimu, maana mpaka Komredi Kimey kakuita TICHA basi si haba)
Naomba unifundishe na mimi niwe anda 18 kuanzia leo, haya ya abavu 18 yamenishinda:tongue:

Mi kinachonishangaza ni wao kutoka Povu wakati hawaamini, Mungu amempa kila mtu uelewa wa kutafakari mambo! sasa sijui Povu linataka hapa kwa nini?

Hapo kwenye RED yaani unakuta anashabikia kabisa Soooo Nice Wish I could get one of this Kind lol

Hahah nyie watu mmenichekesha kweli. CPU ukishakuvuka under 18 hurudi tena. :)

Ati mtu anatoka kipovu kwa dhambi ya mwenziwe! Hapo tu ndo walipokuchosha wewe Kimey....lol

Wawaacheni walioamini waendelee nako na kama ni makosa Mungu ni mwingi wa kusamehe.

btw Dhambi zote zina uzito sawa mbele ya Mungu. Sasa jukwaa la wakubwa kama dhambi tujuwe kuwa ni sawa na dhambi ya Babu Loliondo kama dhambi :)
 
Hoja ya Miss Judith ni ya msingi lakini watu wanajaribu kuipotosha.
Hatukatai kama babu anatibu.
Hatukatai kwamba ameshawasaidia wengi sana na anaendelea kuwasaidia.
Binafsi hata mimi kama ningekuwa mgonjwa ningeenda kupata tiba kwa babu kwani ugonjwa sio mchezo ukikupata utaangaika kila kona kadri ya uwezo wako.
Lakini swala la Mungu kukwambia upange bei flani ili uwaponye watu ndio HOFU kubwa, Mungu wa aina gani huyo?
Wangapi wanakosa hata hiyo sh 500 ambayo kwa wadau humu inaonekana kwao sio kitu.
Ina maana Mungu anatumia ile formular ya 'mwenye nacho...?'
Kwanini isiwe kila mtu atoe kulingana na uwezo wake?

Narudia tena, sisemi tiba ya babu haifai, noo ila naungana na Miss Judy kuwa swala la kupanga pesa ya malipo ndipo panapotia hofu kwamba Mungu hawezi kupanga bei kwani anajua kuwa wapo watu wanaumwa na hawana pesa, je hao wasipate tiba ya Mungu?

asante kwa kuweka sauti yako yenye hekima na uelewa mpana.

ubarikiwe sana mpendwa.

Glory to God
 
Duh CPU naona unatoa siri za chumba cha wakubwa nje. Lakini kwa vile ushasema naomba ufafanuzi wa huko kuchorachora, huenda nami ujuzi ukanisaidia!

Mwalimu
Mimi nilikuwa naambiwa tu kwamba UTACHORWA CHORWA kifuani, sijui utafanyiwa nini (mbinu zingine nimezisahau) sasa nikashindwa kuelewa ikitokea hivyo ndio nayo ni miujiza au ufunuo?? Maadamu mleta mada hii ndio aliyeleta na hiyo ya kuchorana, basi na wewe yapaswa uwe mwanafunzi kwake ili akufundishe. Atakupangia ratiba nadhani, kutwa mara 3 kama sikosei
 
Back
Top Bottom