Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,382
- 14,091
wewe si ulitaka kujua nashiriki ibada wapi? nimekujibu na niambie imekusaidia nini? ndio tatizo la watu wasio na uelewa wa maandiko, hurukia na kudandia chochote wanachoona kinaweza kuwasaidia.
sasa point hapa ni kuwa kutoza fedha (fixed amount) iwe ndogo au kubwa kwa huduma sio ukristo. sasa wewe unayeamii kuwa unajua vyema tuthibitishie kimaandiko kuwa kwa kutoza fixed amount kama bei kwa huduma yake bado he is in line with the scriptures. suala la kuwa hakuna malalamiko sio la msingi. huwezi kujua labda yapo ila hayajaripotiwa na vyombo vya habari. kutosikia jambo haina maana kuwa HALIPO! tambua hilo ndugu
Glory to God
huna hekima ya ki Mungu ndugu kama ungekuwa na hekima usingemtusi binadamu mwenzakona kumuona mwizi tapeli na hana tofauti na waganga wengine, huyo Mungu tofauti na Mungu tunaemwamini sisi na usitake kujifanya unalijua neno kwa kujifunza kwa miezi michache na nina uhakika hii post yake umetumwa sio mawazo yako maana umeonyesha udhaifu hata ktk kuiteyea bado hujakua kiroho ndugu yangu tamani kulijua neno la Mungu na mapenzi yake usiongozwe na mawazo na hisia za wakina Mwingira maana hata Yesu angekua anatukana kama wewe na wenzako sijui kama kuna mtu angeokoka akijibu kwa hoja sio kwa kejeli na matusi kama wewe
nilitaka kujua dhehebu lako nilidhani wale wale waumini wa makanisa ya kiroho kumbe ni mlutheri() ubarikiwe kwa uaminifu wako
POLE SANA KWA KUTEGEMEA SUPPORT YA SHOSSI LAKINI NAONA KAINGIA MITINI