haijaniuma hata kidogo mpendwa.
kuna watu hapa JF wanatangaza kuwa wa hisia za u-lesbian, sijaona ukiwakaripia, wengine wanafagilia tigo, nao sijasikia ukiwakaripia, nk. uliposikia kuna mtu kaukabidhi mwili wake kwa Mungu kwa uaminifu kwa miaka 26, umegeuka mbogo!
naijua roho inayokutesa. nitakuombea. ubarikiwe
Glory to God
hahaa usijihangaishe sina roho yoyote inayonitesa,FAB is just FAB.....sina ishu na bikira yako hata ukiamua ukae bikira for the rest of your life,ila unatuchosha unavyotaka attention with it.........for heaven sake,kila mtu alikuwa nayo!........malesbian na waliwa tigo sidhani kama kuna mtu humu kajiweka kwenye signature yake na kuboast kwenye matopic kama wewe unavyofanya,kama wapo na wenyewe watakuwa attention seekers kama ulivyo wewe-----mie nakungojea mtu akishaitoa hio bikira utakuja nalipi jipya??? manake naona unasumbuliwa na pepo la kujionyesha/attention seeking....
Judith mama BIG UP, kaza buti na imani yako. Imani yako itakuponya. Mtaamini babu ni mnafiki na muongo pale mnapoenda kule msipone au ikawa ile imani ya kinafiki kumpa lishe babu. Hivi kweli mbona watanzania nyinie ni vipofu? Upofu wenu mpaka lini. Mrema katoka huko kaona mambo siyo kaamua kusema eti doctor wake atatoa majibu, Ina maana huyo doctor bado anachakachua majibu yake? Hakuna kitu chochote kinachoendelea mnamuendekeza huyo mtu mzima hovyo, kakosa cha kufanya akaona aanze kukufuru. Mwisho wake huyo babu ni mbaya, atakufa kifo kibaya. Poleni sana enyi wenye imani haba!!!! karibia macho yenu yatafunguliwa.
Judith, I salute you mama. Tuwaombee wenzetu wafunguke macho waone kuwa ni uongo.
Caroline Danzi aka Sheikh Yahya Hussein at work!Judith mama BIG UP, kaza buti na imani yako. Imani yako itakuponya. Mtaamini babu ni mnafiki na muongo pale mnapoenda kule msipone au ikawa ile imani ya kinafiki kumpa lishe babu. Hivi kweli mbona watanzania nyinie ni vipofu? Upofu wenu mpaka lini. Mrema katoka huko kaona mambo siyo kaamua kusema eti doctor wake atatoa majibu, Ina maana huyo doctor bado anachakachua majibu yake? Hakuna kitu chochote kinachoendelea mnamuendekeza huyo mtu mzima hovyo, kakosa cha kufanya akaona aanze kukufuru. Mwisho wake huyo babu ni mbaya, atakufa kifo kibaya. Poleni sana enyi wenye imani haba!!!! karibia macho yenu yatafunguliwa.
Judith, I salute you mama. Tuwaombee wenzetu wafunguke macho waone kuwa ni uongo.
Caroline Danzi aka Sheikh Yahya Hussein at work!
Usimchulie babu yetu aisee chaliii!
Utakufa wewe na utamwacha babu Samunge akiendelea kutoa kikombe!
Miss Judith, nataka kujua wewe ni muumini wa kanisa gani? mara ya tatu lakini hutaki kujibu sioni uaminifu wako mbele za Mungu, sitaki PM jibu hapa hapa watu tukuone na uwe mwaminifu ili Mungu wako azidi kuinuliwa.... asante nasubiliwa kusikia kutoka kwako
Judith mama BIG UP, kaza buti na imani yako. Imani yako itakuponya. Mtaamini babu ni mnafiki na muongo pale mnapoenda kule msipone au ikawa ile imani ya kinafiki kumpa lishe babu. Hivi kweli mbona watanzania nyinie ni vipofu? Upofu wenu mpaka lini. Mrema katoka huko kaona mambo siyo kaamua kusema eti doctor wake atatoa majibu, Ina maana huyo doctor bado anachakachua majibu yake? Hakuna kitu chochote kinachoendelea mnamuendekeza huyo mtu mzima hovyo, kakosa cha kufanya akaona aanze kukufuru. Mwisho wake huyo babu ni mbaya, atakufa kifo kibaya. Poleni sana enyi wenye imani haba!!!! karibia macho yenu yatafunguliwa.
Judith, I salute you mama. Tuwaombee wenzetu wafunguke macho waone kuwa ni uongo.
nianze kwa kuweka wazi kuwa sina hakika na imani ya huyu ndugu yetu Mohamedi Shossi, sijui kama ni mwislamu, mkristo ama muumini wa dini nyinginezo.
aliweka wazi kuwa babu si size ya Yesu na alisema kuwa Yesu ni "world icon" na babu hawezi kulinganishwa naye hata kidogo. baadhi walimkosoa kumwita Yesu "world icon" na walikuwa na sababu zao. pia ametoa michango mingi tu mingine ila hapa nataka niungane naye na kumpongeza kwa kuhoji hiyo bei ya babu.
Mungu wetu afikie mahali apange bei!! tena ya huduma itokanayo na karama aliyotoa mwenyewe? kweli hapo pagumu kuingia akilini. tena mungu wake huyo akampa na mchanganuo wa namna atakavyozigawa hizo pesa, eti 300/- kwakanisa, yatima na wajane na 200/- za wahudumu wanaomsaidia kazi! kwa kweli naona kama hizi ni kashfa kwa Mungu wetu.
neema ya Mungu wetu ni kubwa na pana sana, na kamwe huyu babu asiichezee kiasi hiki. yeye atangaze kuwa ni mganga aliyekuja na dawa ya mti wa mrigariga, afuate taratibu za serikali za kujisajili kisheria ili serikali itambue kazi zake na aweke bei yake kama wawekavyo waganga wengine na tutamchukulia kama tunavyowachukulia waganga wengine.
hongera tena Mohamed Shossi, hoja yako ni njema na ya kweli. Mungu wetu hahitaji hata senti yetu moja. karama zake hutoa bure. michango kwa ajili ya kazi ya Bwana ni ya hiyari na kadiri mtu alivyojaaliwa kutoa.
ukishaweka bei (hata kama ni sh.10/-) maana yake ni kwamba asiye nayo hapati huduma! kumbuka madukani kuna pipi za sh.10/- na usipokuwa na hiyo sh.10/- hupati hiyo pipi. ndiyo maana ya bei. sasa babu anasema kama huna sh. 500/- kaa pembeni mwenye hela aje apate kikombe! hata akiamua kuwasamehe wengine kulipa, manake atakuwa kakiuka utaratibu wa huyo mungu wake anayedhibiti bei! sasa hii nayo bado ni huduma ya kiroho kweli kwa mujibu wa dini ya kikristo? mungu gani huyu anayepanga hesabu hivi?
tuendelee kutafakari na kuliombea kanisa
Mungu akubariki sana ndugu Mohamedi Shossi,
Glory to God!
Hakuna neno sahihi ninaloweza kuliweka hapa zaidi ya wivu na hii sasa imekuwa ugonjwa mbaya unaolitafuna taifa letu Tanzania.Fuatilia matamko ya viongozi wa dini hasa yale madhehebu yanayojitangaza sana through TV utagundua wanasumbuliwa na wivu bahati mbaya hata wewe Miss Judith unaangukia kwenye kundi hilo.
Binafsi nimekutana na wagonjwa waliokuwa wakisumbuliwa na ugonjwa wa kisukari hakika wangebahatika kukutana na wewe wangekutupia mayai viza kama siyo kukutemea mate.
Miss Judith, nataka kujua wewe ni muumini wa kanisa gani? mara ya tatu lakini hutaki kujibu sioni uaminifu wako mbele za Mungu, sitaki PM jibu hapa hapa watu tukuone na uwe mwaminifu ili Mungu wako azidi kuinuliwa.... asante nasubiliwa kusikia kutoka kwako
Nikiangalia hizo comment za blue na nyekundu natamani hata kulia.
Hivi kweli kutoa msaada kwa wajane na yatima ni kuchezea neema ya Mungu???
Judith, ulisoma sawasawa ulichokiandika??????
Kuchangia kanisa ni kuchezea neema ya Mungu????
Na ukiangalia hata huo mchanganuo uliouweka inaonyesha yeye kama Babu habaki na kitu chochote, kila kitu atakirudisha kwa masikini, wenye matatizo na kanisani.
Hiyo black ndo nashindwa hata nikuulize nini!?????
Kazi ya Babu ina baraka zote za KKKT, ndio maana serikali ilipojaribu kuzuia huduma za babu KKKT walikuja juu, wakazi na Loliondo, Arusha na sehemu mbalimbali za Tanzania walikuja juu, na hata Mkuu wa Mkoa wa Arusha nae alikuja juu wote wakisema hilo zuio halitekelezeki.
So maadamu umemshambulia Babu kutoa huduma kwa 500/- na kumfananisha na waganga wengine (bila shaka utakuwa unamaanisha waganga wa kienyeji) ni wazi kwamba umewashambulia pia KKKT.
My conclusion ni kwamba
SAUTI YA WENGI NI SAUTI YA MUNGU
Na umeona sauti ya wengi ilivyokupinga kwa nguvu zote. Hii thread lazima itakuwa imekuharibia siku yako kwa namna fulani.
.
Miss Jude umenistaajabisha kidogo. Nilidhani labda naota ama naona maono? Maana ule utaalamu uliokiri unao wa kut.. Sikuamini kama ni wewe uliyeyaanika hayo hadharani.
Kuna jambo moja limenijia moyoni, huenda upo chini ya mtumishi mwenye bumbuazi la kiroho(spiritual amnesia). Kama ni mwanamama atakua na tatizo la usagaji kisiri, laa kama ni mwanamume atakua fataki kisiri. Ama kama viongozi wako wa kidini wako safi, wewe binafsi mguu mmoja uko ndani ya boma ilhali wa pili unakatiza mitaa ya udaku.
Yawezekana vipi kisima kimoja kutoa maji matamu na machungu pia? Labda tu nijifariji na neno la Mungu kwamba mvua ile ile iliyoinyeshea nchi kuchipusha miche ya matunda ndio hiyo hiyo pia iliyochipusha mibaruti.
UKIJIBU SWALI LA MDAU KWAMBA KANISA LAKO NI LIPI BASI TUTAENDELEA ZAIDI KUSAIDIANA.
Nothing personal p/se!
.
baadhi ya wakristo wenzangu na baadhi ya wanaJF mnanishangaza sana.
kuchezea neema ya Mungu nilikosema ni kutokana na kuweka bei kwa uponyaji huo utokanao na karama ya Mungu. ukiweka bei ina maana kuwa asiyekuwa na 500/- hapati huduma! Narudia tena Mungu ninayemfahamu hawezi kutoza hata senti moja!, (kama babu anahitaji ku-cover some overheads au kusaidia wenye shida na kanisa anapaswa kuitisha michango ya hiyari ambapo kula mtu atachangia kutokana na uwezo wake na katu asiwapangie kiasi fixed cha kuchangia na kukifanya kuwa sharti la kupata huduma hiyo ya uponyaj)i. huo ndio ukristo ninaoujua mimi.
suala kuwa KKKT wameunga mkono si hoja. wapi imeandikwa kuwa KKKT wakiunga mkono basi jambo hilo lazima liwe limetoka kwa Mungu? hujasikia makanisa yakitawaza mashoga kuwa wachungaji? wake up my friend. shetani anaweza kutumia hata vingozi wetu wa kiroho, ndiyo maana nasema ni lazima kuijaribu kila roho kama inatokana na Mungu kwa kutumia maandiko matakatifu. kitu chochote kilicho kinyume na maandiko hata kama kimeungwa mkono na serikali, KKKT, wakazi na Loliondo, Arusha na sehemu mbalimbali za Tanzania na hata dunia nzima na hata huyo Mkuu wa Mkoa wa Arusha ama mkoa mwingine wowote, lazima kikubaliane na maandiko ndugu yangu. ukubwa wa jeshi la wanaokubali, haukifanyi kuwa kitakatifu. tafakari tena ili uwe great thinker wa kweli.
Glory to God
msitoke nje ya mada wapendwa! ubikira si mada ya kujadiliwa kwenye thread hii. najua mabikira ni adimu sana hapa duniani, hapa tunamjadili babu na sh. 500/- yake . please turudi kwenye mada
Glory to God
kwenye mabano hapo dada sijakuelewa ulitaka afanye kama wale wengine? ambao wanakamua raia bila huruma mbona uwezo wa kutetea hoja ni mdoigo sana? na angefanya hivyo unavyopendekeza mngechonga sana sasa hiyo 500 nayo mnaona ni ishu, hivi umeshapata malalamiko yote au kusikia kwamba hicho kiasi anachotoza babu ni kikubwa? acha uvivu wa kufikiri kubali kwamba umeshindwa kutetea kila unachokisema... muache babu aendelee na kazi yake au kama umetumwa na Mungu ombea huduma ya babu ianguke mara moja zaidi ya hapo sioni haja ya wewe kuendelea kujitutumua na kujibu hoja dhaifu hapa