pole dada , karibu tena. nitafurahi kupata maoni yako. hata kwa PM itafaa sana. asante mpenzi
hivi, umefilisika kabisa ndugu yangu?
nianze kwa kuweka wazi kuwa sina hakika na imani ya huyu ndugu yetu Mohamedi Shossi, sijui kama ni mwislamu, mkristo ama muumini wa dini nyinginezo.
aliweka wazi kuwa babu si size ya Yesu na alisema kuwa Yesu ni "world icon" na babu hawezi kulinganishwa naye hata kidogo. baadhi walimkosoa kumwita Yesu "world icon" na walikuwa na sababu zao. pia ametoa michango mingi tu mingine ila hapa nataka niungane naye na kumpongeza kwa kuhoji hiyo bei ya babu.
Mungu wetu afikie mahali apange bei!! tena ya huduma itokanayo na karama aliyotoa mwenyewe? kweli hapo pagumu kuingia akilini. tena mungu wake huyo akampa na mchanganuo wa namna atakavyozigawa hizo pesa, eti 300/- kwakanisa, yatima na wajane na 200/- za wahudumu wanaomsaidia kazi! kwa kweli naona kama hizi ni kashfa kwa Mungu wetu.
neema ya Mungu wetu ni kubwa na pana sana, na kamwe huyu babu asiichezee kiasi hiki. yeye atangaze kuwa ni mganga aliyekuja na dawa ya mti wa mrigariga, afuate taratibu za serikali za kujisajili kisheria ili serikali itambue kazi zake na aweke bei yake kama wawekavyo waganga wengine na tutamchukulia kama tunavyowachukulia waganga wengine.
hongera tena Mohamed Shossi, hoja yako ni njema na ya kweli. Mungu wetu hahitaji hata senti yetu moja. karama zake hutoa bure. michango kwa ajili ya kazi ya Bwana ni ya hiyari na kadiri mtu alivyojaaliwa kutoa.
ukishaweka bei (hata kama ni sh.10/-) maana yake ni kwamba asiye nayo hapati huduma! kumbuka madukani kuna pipi za sh.10/- na usipokuwa na hiyo sh.10/- hupati hiyo pipi. ndiyo maana ya bei. sasa babu anasema kama huna sh. 500/- kaa pembeni mwenye hela aje apate kikombe! hata akiamua kuwasamehe wengine kulipa, manake atakuwa kakiuka utaratibu wa huyo mungu wake anayedhibiti bei! sasa hii nayo bado ni huduma ya kiroho kweli kwa mujibu wa dini ya kikristo? mungu gani huyu anayepanga hesabu hivi?
tuendelee kutafakari na kuliombea kanisa
Mungu akubariki sana ndugu Mohamedi Shossi,
Glory to God!
Mimi nadhani swala la bikira hapa halikuwa platform yake, huyu binti inaonekana jukwaa lake kuu ni lile la mambo ya mahusiano mapenzi n.k, mimi binafsi sihitaji mwanamke bikira, hana ladha yoyote.
by the way unaweza kuinadi bikira yako kwa Gaddaf maana yeye ndio anahitaji mabinti bikira ili wawe mabody guard wake, but am afraid umeshachelewa maana siku zake madarakani zinahesabika.
aliyefilisika nani?? mie au wewe unayevuvuzela na bikira yako kuanzia signature mpk kny posting? bibie tulia kila mtu aliwahi kuwa nayo!!!,once itakapotoka ndio utajua ilivyo insgnificant na sio kitu cha kutunyimia usingizi humu!!!
Who the hell cares if you are a bikira? Afterall we can't verify...so to hell with it. You don't need to advertise it the whole JF world. Get a grip.
Mimi nadhani swala la bikira hapa halikuwa platform yake, huyu binti inaonekana jukwaa lake kuu ni lile la mambo ya mahusiano mapenzi n.k, mimi binafsi sihitaji mwanamke bikira, hana ladha yoyote.
by the way unaweza kuinadi bikira yako kwa Gaddaf maana yeye ndio anahitaji mabinti bikira ili wawe mabody guard wake, but am afraid umeshachelewa maana siku zake madarakani zinahesabika.
Nilichogundua ni kwamba miss judith ana lake jambo kwa huyu babu.chunguzeni post zake zilizopita utajua ni mtu wa namna gani.tena anatumia majina tofauti na kujijibu mwenyewe.tena jinsia yake si kama mnavyofikiri.waste not your time on miss judith.
ubarikiwe sana mpendwa.
usemayo yanadhihirisha mengi sana. kama ningesema hapa kuwa "niliyabeba madume kumi kwa siku moja" nafikiri thread yangu ingepitiliza kurasa 100! hii ndiyo dunia tunayoishi, kuwa bikira ni aibu, ila kuwa malaya, msagaji nk. unapata maswahiba kedekede. nakuombea baraka na Mungu asikupite anapozuru wengine. amina
Glory to God
Nimekupa thanx kaka. Watu wanaongea tu na kutunga hadithi hayajawafika bado. Sioni tu vile unaweza compare 500 na kisukari cha zaidi ya miaka 10
Miss Judith,thank you very much for this useful thread. But for as long as nimeshafika kwa babu na kupata kikombe kinachonipa ahueni kubwa ya maradhi 'niliyokuwa' nayo, sitahoji lolote kuhusu hiyo mia tano. Infact natamani ningeweza kulipa zaidi
hakuna tofauti na unavyofanya na bikira yako,yote ni kutafuta ATTENTION na sie nyie attention seekers mnatuchosha!!!!...barikiwa na wewe pia unapoendelea kujitambua!! ...sipendi kabisa mtu anayetafuta attention kinguvu iwe kwa mazuri au mabaya....nimekwambia waaaaazi kuwa bikira ni kitu cha kawaida kila mtu aliwahi kuwa nayo,pole km limekuuma ila huo ndio ukweli.
haijaniuma hata kidogo mpendwa.
kuna watu hapa JF wanatangaza kuwa wa hisia za u-lesbian, sijaona ukiwakaripia, wengine wanafagilia tigo, nao sijasikia ukiwakaripia, nk. uliposikia kuna mtu kaukabidhi mwili wake kwa Mungu kwa uaminifu kwa miaka 26, umegeuka mbogo!
naijua roho inayokutesa. nitakuombea. ubarikiwe
Glory to God
Hapo vipi mbona post yako hii inatofautiana na tuition hii uliyotupa siku chache za nyuma?
Topic: The Bottom line ya sanaa ya kutongoza
[/LIST]
Hapana binti, wacha kupotosha watu, hapa ni lazima ujuwe sio lile jukwaa lenu la mahaba, lakini haya ya ubikira ungeyasema kule kwenye jukwaa lenu asingekushangaa mtu, hapa watu wanajadili hoja na sio viroja. angalia hata wachangiaji wengi wa hapa sio wale mnaokutana huko kwenye jukwaa lenu la mahaba, hapa kuna watu wengi ambao ni makini na hawana muda wa mzaha, na haitotokea siku ukaona wapo huko kwenye hilo jukwaa lenu la mahaba kumkuta mtu wa namna hiyo anachangia kitu.