Hoja ya mheshimiwa zitto na cuf&tlp

lidoda

JF-Expert Member
Apr 27, 2008
641
574

Wanajamii mpaka sasa hivi bado nina maswali nadhani mtanipa majibu. Mpaka sasa hivi mbona sijafahamu kwa nini wabunge wa CUF,TLP, wametia sahihi katika hoja ya Zitto ya kutokuwa na imani na utendaji wa Pinda. Mbona tangu mwanzoni mwa bunge hili walikuwa pamoja na magamba???!!! Ukianzanzia kura zote walizopiga wakati wa kumchagua spika kati ya Mheshimiwa Marando(CDM) na Anna Makinda(CCM), hawa wabunge wote walimpa kura Mheshimiwa Makinda.Sasa kinachonishangaza vilevile huu uwingi wao, yaani kama sikosei nafikiri wabunge wote wa CUF wameweka sahii ya kutokuwa na imani na Pinda, sasa hapa kuna nini? Je wameshagundua kuwa walikuwa wanapelekeshwa na Magamba bila fada yeyote? Je wanaogopa kura za majimboni? Nakama kweli amri ya wana CUF imetoka makao makuu kama inavyosemekana na makao makuu ni Maalimu Seif, je yeye na bosi wake huko ZNZ uko salaama kweli? Hii ndoa yao ni ya mkataba mpaka 2015?
HAPA CHINI NI MAJINA YA WALIOPIGA KURA YA KUTOKUWA NA IMANI NA PINDA
1 5. Deo H Filikuchombe- CCM
2 18. Aphaxar K Lugola- CCM
3 2. Chiku Aflah Abwao -CDM
4 6. Pauline P. Gekul-CDM
5 8. Prof.Kuliyokela Kahigi- CDM
6 9. Naomi M Kaihula – CDM
7 10. Sylvester Kasulumbayi- CDM
8 11. Raya Ibrahim Khamis - CDM
9 13. Susan L Kiwanga-CDM
10 14. Grace Kiwelu CDM
11 16. Joshua S Nassari –CDM
12 17. Tundu A Lissu- CDM
13 19. Susan A Lyimo- CDM
14 21. John Shibuda Magalle - CDM
15 23. Esther N Matiko-CDM
16 24. Joseph Mbilinyi- CDM
17 25. Freeman Mbowe- CDM
18 26. Kurudhum J. Mchuchuli – CDM
19 27. Halima Mdee-CDM
20 28. John Mnyika- CDM
21 30. Maryam S Msabaha- CDM
22 31. Peter Msingwa-CDM
23 32. Christowaja G Mtinda -CDM
24 33. Philipa G Mturano- CDM
25 34. Christina L Mughwai- CDM
26 35. Joyce Mukya – CDM
27 36. Israel Y Natse – CDM
28 37. Philemon Ndesamburo- CDM
29 39. Vincent Nyerere- CDM
30 41. Meshack J Opulukwa- CDM
31 42. Lucy Owenya- CDM
32 43.Rachel Mashishanga- CDM
33 44. Mhonga Ruhwanya – CDM
34 45. Conchesta Rwamlaza – CDM
35 47. Joseph R Selasini – CDM
36 48. David E Silinde-CDM
37 49. Rose Kamili - CDM
38 50. Cecilia Paresso- CDM
39 51. Kabwe Zuberi Zitto- CDM
40 53. Rebecca Mngodo- CDM
41 54. Sabreena Sungura -CDM
42 56. Mustapha Boay Akoonay -CDM
43 62. Mhe. Anna Marystella Mallack -CDM
44 1. Rashid Ali Abdallah -CUF
45 3. Salum Ali Mbarouk -CUF
46 4. Salum Khalfam Barwany -CUF
47 7. Asaa O Hamad-CUF
48 12. Mkiwa H. Kiwanga CUF
49 15. Kombo H Kombo CUF
50 22. Faki Haji Makame-CUF
51 38. Ahmed Juma Ngwali-CUF
52 40. Rashid Ali Omar-CUF
53 46. Moza Abedi Saidy-CUF
54 52. Magdalena Sakaya – CUF
55 55. Rukia Kassim Ahmed - CUF
56 57. Mhe. Abdallah haji Ali - CUF
57 58. Mhe.Khatibu Said Haji. - CUF
58 59. Mhe. Hamad Ali Hamad - CUF
59 60. Mhe. Riziki Omar Juma - CUF
60 61. Mhe. Haji Khatib Kai - CUF*
61 63. Mhe. Hamad Rashid Mohamed - CUF
62 64. Mhe. Rajab Mbarouk Mohamed - CUF
63 65. Mhe. Thuwayba Idrisa - CUF
64 66. Mhe.Masoud Abdallah Salum - CUF
65 67. Mhe. Muhammad Ibrahim Sanya - CUF
66 68. Mhe.Ali Khamis Seif - CUF
67 69. Mhe.Haroub Muhammed Shamis - CUF
68 70. Mhe. Amina Amour. Nassoro. - CUF
69 20. Moses Machali – NCCR
70 29. Augustino L Mrema- TLP
 
Hakuna kitu kizuri kama unajua kusoma nyakati. Wenzetu wameshaanza kujitambua
 
Kuwa mbunge wa ccmni sawa na kuwa mlinzi kwenye nyumba ya mhindi, sorry kwa kuweka race/mfananisho wa kirangi.
Nia yangu ni kuonyesha tabia za hao ndugu zetu!!
 
wakati,,,,,,,nyakati,,,,,,,hali ya upepo,,,hali ya uwanja wa vita kisiasa,,,,,,,political advantagies,,,,,,public suppot,,,,,,oppoturnity to win mojority,,,,,,kuelekea uchaguzi mkuu,,,,,,,kisulisuli cha cdm,,,,,,,,,,,,,,,,,,,ntarejea bdae,,,,,,
 
Nahisi ile 3,000,0000,000,000.00 WALIYOCHUKUA CUF KUACHIA URAIS ZENJI INAKARIBIA KWISHA SASA WANAJIHAMI 2012 WATAAINGIA CDM KAMA SIYO KUWAUNGA MKONO? MAGAMBA HAWAAMINIKI

Wanajamii mpaka sasa hivi bado nina maswali nadhani mtanipa majibu. Mpaka sasa hivi mbona sijafahamu kwa nini wabunge wa CUF,TLP, wametia sahihi katika hoja ya Zitto ya kutokuwa na imani na utendaji wa Pinda. Mbona tangu mwanzoni mwa bunge hili walikuwa pamoja na magamba???!!! Ukianzanzia kura zote walizopiga wakati wa kumchagua spika kati ya Mheshimiwa Marando(CDM) na Anna Makinda(CCM), hawa wabunge wote walimpa kura Mheshimiwa Makinda.Sasa kinachonishangaza vilevile huu uwingi wao, yaani kama sikosei nafikiri wabunge wote wa CUF wameweka sahii ya kutokuwa na imani na Pinda, sasa hapa kuna nini? Je wameshagundua kuwa walikuwa wanapelekeshwa na Magamba bila fada yeyote? Je wanaogopa kura za majimboni? Nakama kweli amri ya wana CUF imetoka makao makuu kama inavyosemekana na makao makuu ni Maalimu Seif, je yeye na bosi wake huko ZNZ uko salaama kweli? Hii ndoa yao ni ya mkataba mpaka 2015?
HAPA CHINI NI MAJINA YA WALIOPIGA KURA YA KUTOKUWA NA IMANI NA PINDA
1 5. Deo H Filikuchombe- CCM
2 18. Aphaxar K Lugola- CCM
3 2. Chiku Aflah Abwao -CDM
4 6. Pauline P. Gekul-CDM
5 8. Prof.Kuliyokela Kahigi- CDM
6 9. Naomi M Kaihula – CDM
7 10. Sylvester Kasulumbayi- CDM
8 11. Raya Ibrahim Khamis - CDM
9 13. Susan L Kiwanga-CDM
10 14. Grace Kiwelu CDM
11 16. Joshua S Nassari –CDM
12 17. Tundu A Lissu- CDM
13 19. Susan A Lyimo- CDM
14 21. John Shibuda Magalle - CDM
15 23. Esther N Matiko-CDM
16 24. Joseph Mbilinyi- CDM
17 25. Freeman Mbowe- CDM
18 26. Kurudhum J. Mchuchuli – CDM
19 27. Halima Mdee-CDM
20 28. John Mnyika- CDM
21 30. Maryam S Msabaha- CDM
22 31. Peter Msingwa-CDM
23 32. Christowaja G Mtinda -CDM
24 33. Philipa G Mturano- CDM
25 34. Christina L Mughwai- CDM
26 35. Joyce Mukya – CDM
27 36. Israel Y Natse – CDM
28 37. Philemon Ndesamburo- CDM
29 39. Vincent Nyerere- CDM
30 41. Meshack J Opulukwa- CDM
31 42. Lucy Owenya- CDM
32 43.Rachel Mashishanga- CDM
33 44. Mhonga Ruhwanya – CDM
34 45. Conchesta Rwamlaza – CDM
35 47. Joseph R Selasini – CDM
36 48. David E Silinde-CDM
37 49. Rose Kamili - CDM
38 50. Cecilia Paresso- CDM
39 51. Kabwe Zuberi Zitto- CDM
40 53. Rebecca Mngodo- CDM
41 54. Sabreena Sungura -CDM
42 56. Mustapha Boay Akoonay -CDM
43 62. Mhe. Anna Marystella Mallack -CDM
44 1. Rashid Ali Abdallah -CUF
45 3. Salum Ali Mbarouk -CUF
46 4. Salum Khalfam Barwany -CUF
47 7. Asaa O Hamad-CUF
48 12. Mkiwa H. Kiwanga CUF
49 15. Kombo H Kombo CUF
50 22. Faki Haji Makame-CUF
51 38. Ahmed Juma Ngwali-CUF
52 40. Rashid Ali Omar-CUF
53 46. Moza Abedi Saidy-CUF
54 52. Magdalena Sakaya – CUF
55 55. Rukia Kassim Ahmed - CUF
56 57. Mhe. Abdallah haji Ali - CUF
57 58. Mhe.Khatibu Said Haji. - CUF
58 59. Mhe. Hamad Ali Hamad - CUF
59 60. Mhe. Riziki Omar Juma - CUF
60 61. Mhe. Haji Khatib Kai - CUF*
61 63. Mhe. Hamad Rashid Mohamed - CUF
62 64. Mhe. Rajab Mbarouk Mohamed - CUF
63 65. Mhe. Thuwayba Idrisa - CUF
64 66. Mhe.Masoud Abdallah Salum - CUF
65 67. Mhe. Muhammad Ibrahim Sanya - CUF
66 68. Mhe.Ali Khamis Seif - CUF
67 69. Mhe.Haroub Muhammed Shamis - CUF
68 70. Mhe. Amina Amour. Nassoro. - CUF
69 20. Moses Machali – NCCR
70 29. Augustino L Mrema- TLP
 
Back
Top Bottom