Kilembwe
JF-Expert Member
- Aug 19, 2009
- 2,056
- 1,598
Kila siku watu wanakufa kwa ajali za barabarani je utakubaliana na hoja kuwa ni wakati muafaka nchi hii ikaacha kabisa kujenga barabara na kutumia magari ya moto ili kulinda maisha na mali za wananchi? Kwa ufupi hoja yako haina mashiko.
Tata nakubaliana na wewe kuwa kila siku watu wanakufa kwa ajali za barabarani, hoja yangu ni kuwa pale Mikumi sababu kubwa huwa ni magari yanapojali kukwepa wanyama wavukao barabara, japo hifadhi imejaribu kuweka matuta lakini trend bado inakuwa kila siku