HOJA YA KATIBA: Waislamu kushinikiza Mahakama ya Kadhi

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,173
na Asha Bani

IKIWA mapambano ya kudai katiba mpya yanaendelea, jumuiya na taasisi za Kiislamu Tanzania zimesema katika madai yao kutakuwepo na mapendekezo ya kuishinikiza serikali kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi nchini.

Akizungumza na Tanzania Daima kwa njia ya simu jana, Katibu wa Jumuiya hiyo, Sheikh Ponda Issa Ponda, alisema watapita katika kila taasisi ya Kiislamu nchini kwa lengo la kukusanya maoni kama ilivyoahidi lakini ni muhimu kuwepo na hoja ya kuanzishwa kwa mahakama hiyo ya Waislamu.

"Suala la Mahakama ya Kadhi kwa ujumla ndilo muhimu lakini pia ni muhimu kukusanya mambo mengi ambayo naamini yatakuwa na misingi mizuri, kikatiba suala hilo haliwezi kukwepeka lazima liwepo pia," alisema Ponda.

Aidha, alisema wao kama Waislamu wa jumuia tofauti tofauti wamempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kusema ataunda tume ambayo itakuwa na uwakilishi wa watu wote.

Sheikh huyo alisema hata hivyo kutakuwa na mkutano wa jumuia mbalimbali za Kiislamu utakaofanyika Januari 8 katika ukumbi wa Tanzania Muslim Solidarity Trust Fund ukiwa na lengo la kufanya mchakato wa kupata watu ambao wao wanaamini watafaa katika kuwawakilisha pindi mchakato utakapoanza.

Alisema baada ya kuyapata majina yatakayowawakilisha watawasilisha majina hayo serikalini kama yatakuwa yanahitajika na kwamba Waislamu hao ndio watawafaa katika kuwawakilisha.

Alisema katika mkutano huo pia BAKWATA wamealikwa kuudhuria na wameamua kufanya hivyo ili kuwatoa unyonge Watanzania ambao wanafikiri BAKWATA peke yao ndio wanaostahili kufanya kazi za jamii nzima ya Waislamu.

"Utaratibu huu tunaamini kwamba utamsaidia rais kwa kuwa sisi ndio watu ambao tuna mtandao wa namna ya kuifikia jamii ya Kiislamu ambapo pia itarahisisha kazi za tume na miongoni mwa kazi zetu ni kwenye misikiti kwenye jumuia na kwingineko, tutafika kote," alisema Ponda.
 
Akizungumza na Tanzania Daima kwa njia ya simu jana, Katibu wa Jumuiya hiyo, Sheikh Ponda Issa Ponda, alisema watapita katika kila taasisi ya Kiislamu nchini kwa lengo la kukusanya maoni kama ilivyoahidi lakini ni muhimu kuwepo na hoja ya kuanzishwa kwa mahakama hiyo ya Waislamu.

"Suala la Mahakama ya Kadhi kwa ujumla ndilo muhimu lakini pia ni muhimu kukusanya mambo mengi ambayo naamini yatakuwa na misingi mizuri, kikatiba suala hilo haliwezi kukwepeka lazima liwepo pia," alisema Ponda.
Ni vyema Sheikh Ponda akawa na upana wa mawazo kuwa Mahakama za kidini ni lazima zijitegemee kifedha.....zisitegemee serikali kupitia hazina itafanya kazi ya kuzibeba shughuli za kidini kwa sababu siyo kazi yake.....

Vilevile atetee Mahakama za Dini zote siyo kujikita kwa dini yake tu kwa kufanya hivyo atajikuta anatetea ubaguzi na upendeleo wa dini yake tu.....

Sheikh Ponda be smart now, the era of a demgogue is truly over.....
 
Sasa na wakristu wataanzisha mahakama ya kikristo, naserikali iunde tume tuoe! Hawa jamaa wana muono hatua chache sana. Hii nchi si ya kidinieti..
 
Ni vyema Sheikh Ponda akawa na upana wa mawazo kuwa Mahakama za kidini ni lazima zijitegemee kifedha.....zisitegemee serikali kupitia hazina itafanya kazi ya kuzibeba shughuli za kidini kwa sababu siyo kazi yake.....

Vilevile atetee Mahakama za Dini zote siyo kujikita kwa dini yake tu kwa kufanya hivyo atajikuta anatetea ubaguzi na upendeleo wa dini yake tu.....

Sheikh Ponda be smart now, the era of a demgogue is truly over.....

Acheni kuwa na Mioyo ya kutu! Mbona Uganda na Kenya kuna mahakama ya Kadhi lakini hakuna tatizo wala madhara yaliyotokea! Uganda na Msumbiji waislamu ni 10% kwa 12% wamejiunga hakuna madhara yeyote sisi wakristu wa Tanzania tuwaache nao waislamu waishi vizuri katika nchi yao na si kuwasakama na wenyewe nchi yao hii!
 
Ni kweli wakati waandika katiba wakifikiria kuanzisha mahakama ya kadhi ambayo waislamu wanataka ilipiwe kwa Pesa za serikali, wasisahau kuweka vipengele vya kullipia mahitaji ya kiimani ya wakristo kwa Mfano kulipia gharama za kuhubiri injiili kwa wakristo, hiki kitakuwa ni kipengele muhimu kwa ajili yetu wakristo kutimiza agizo la bwana wetu yesu kristo kuihubiri injili yake duniani kote.
 
mbona hiyo ni haki yenu na nyie mdai tu. Ila pia waislam watahitaji mabilioni yote ambayo kanisa lilitengeneza mkata feki kuibia watanzania yale mabilioni yote ambayo kanisa lilisha chota na waislam wapewe. Halafu kaka suala la nyie kutaka kufanya mahubili hata siku moja hutosikia waislam wanakuzuwieni.
 
unajua mnapokosea ni kuwa chuki binafsi mnaiweka mbele, ivi mahakama ya kadhi kenya haipo? mmesikia tatizo gani kuhuiana na hiyo mahakama ya kadhi? chuki haijengi.
 
mbona hiyo ni haki yenu na nyie mdai tu. Ila pia waislam watahitaji mabilioni yote ambayo kanisa lilitengeneza mkata feki kuibia watanzania yale mabilioni yote ambayo kanisa lilisha chota na waislam wapewe. Halafu kaka suala la nyie kutaka kufanya mahubili hata siku moja hutosikia waislam wanakuzuwieni.

Halafu na wakristo watadai mabilioni ya pango ya kutumia mashule yaliyojengwa na wakristo kwa unyang'anyi, mabilioni hayo yarudishwe na mashule yarejeshwe kwa wakristo.
 
Japo rais amekiri kuandikwa kwa katiba mpya inayokidhi na kuendana na mahitaji ya watanzania, mimi nadhani hili la mahakama ya kadhi halitakiwi kuwepo kwa mwamvuli wa serikali. Tulikiri tangu uhuru kuwa Tanzania ni nchi isiyofungamana na dini yoyote japokuwa watanzania wana dini zao, ikaandikwa kwenye katiba na itaendelea kuwepo. Kama kweli mahakama hiyo wanaihitaji, kwanini wasianzishe wao kama waislamu kutatua matatizo yaliyopo ndani ya dini ya kiislamu na waislamu wao. Mbona dini nyingine zina mfumo wa kutatua matitizo yao pasipokuwa na mahakama za kadhi? Tusihatarishe umoja na amani yetu kwa mambo yasiyolinufaisha taifa na watanzania. Nisingependa kuona tunagombana na kukashifiana kwa misimamo ya dini zetu. Tanzania is a secular state and it (will and shall and must) remain as a secular state. This is not subject to discussion or debate!
 
Suala la mahakama ya kadhi wasio waislamu haliwahusu.Inasikitisha kuona kuwa hao ndio wenye vimbelembele katika kuipinga mahakama ya kadhi.Hivi nyinyi inawahusu nini?Haya ni masuala ya waislamu mutuachie wenyewe tunaojua umuhimu wa kuwepo kwa mahakama hiyo.
 
Sio lazima kuiga hata uovu unaofanywa na mwenzako........iga mambo ambayo yana maslahi kwa wote.........maslahi ya watz sio ukristo wala uislamu kwa hiyo ni mjinga anayetuletea maslahi ya kidini katika mapendekezo ya katiba ya taifa............mbona kwa mfano wakatoliki wana sheria zao za ndoa ambazo hawajawahi kuiomba serikali iweke kwenye katiba.............uislamu ni uchafu ambao hauwezi kuweka kwenye katiba hata siku moja.............ponda ajue matatizo ya maisha ya watz ambao 85% ni masikini hayajaletwa na dini kwa hiyo ni upumbavu kuzungumzia madini haya wkt serikali haina dini.............ni vizuri kila dini kuzingatia sheria za nchi na kuto kutuletea mchezo mchafu wa dini................mbona ponda hajawahi kutumia dini yake kusaidia wat km yafanyavyo madhehebu ya kikristo?......haya maslahi ya dini sio maslahi ya watz....maslahi ya watz ni maisha yao yawe bora ili wawe na uwezo wa kumudu gharama za maisha ikiwemo kumchangia ponda kwa njia ya sadaka ya waumini wake............

"tuache upuuzi ktk katiba ya nchi.........uislam ni adui wa amani popote duniani"

acheni kuwa na mioyo ya kutu! Mbona uganda na kenya kuna mahakama ya kadhi lakini hakuna tatizo wala madhara yaliyotokea! Uganda na msumbiji waislamu ni 10% kwa 12% wamejiunga hakuna madhara yeyote sisi wakristu wa tanzania tuwaache nao waislamu waishi vizuri katika nchi yao na si kuwasakama na wenyewe nchi yao hii!
 
Kwa nini wanataka kuishirikisha serikali ambayo ina wakristo wengi?...........km ni mambo ya waislamu kwa nini ku-blow out na wengine wasikie...........tatizo uislamu unafundisha uvivu kwa hiyo hawana pesa za kuendesha mahakama zao haramu na kutaka kulazimisha hata wakristo wanaolipa kodi kubwa serikalini wachangie uendeshaji wa mahakama haramu kwa wakristo....................mbona wakatoliki wana sheria zao za ndo ambapo hawana haja ya kuishirikishja serikali au mwislamu yeyote ktk kuendesha kesi zake?....................huu ni ulimbukeni wa dini kutoka kwa waislamu..........

suala la mahakama ya kadhi wasio waislamu haliwahusu.inasikitisha kuona kuwa hao ndio wenye vimbelembele katika kuipinga mahakama ya kadhi.hivi nyinyi inawahusu nini?haya ni masuala ya waislamu mutuachie wenyewe tunaojua umuhimu wa kuwepo kwa mahakama hiyo.
 
Kwani mahakama za kikristo zikianzishwa zitakuwa na madhara gani?


unajua mnapokosea ni kuwa chuki binafsi mnaiweka mbele, ivi mahakama ya kadhi kenya haipo? Mmesikia tatizo gani kuhuiana na hiyo mahakama ya kadhi? Chuki haijengi.
 
Acheni kuwa na Mioyo ya kutu! Mbona Uganda na Kenya kuna mahakama ya Kadhi lakini hakuna tatizo wala madhara yaliyotokea! Uganda na Msumbiji waislamu ni 10% kwa 12% wamejiunga hakuna madhara yeyote sisi wakristu wa Tanzania tuwaache nao waislamu waishi vizuri katika nchi yao na si kuwasakama na wenyewe nchi yao hii!

Jibu hoja tajwa na wala si kutoa takwimu isiyojibu hoja asilia. Je mahakama husika katika nchi ulizoainisha zinapata upendeleo maalumu wa kuhudumiwa na pesa za walipa kodi ama zajitegemea kwa gharama za kiuendeshaji?
 
Back
Top Bottom