hoja ya katiba mpya ibebe utaifa kuliko siasa

Oct 21, 2010
23
0
Dalili nimeanza kuziona kuwa yapo makundi mblimbali ya watu wanaopigania katiba mpya lakini hofu yangu ni kuwa mjadala huu umeanza kupoteza maana kwani CHADEMA wamekuwa wakiufanya kama mtaji wa kuiadhibu CCM badala ya manufaa ya taifa zima hapa kuna hatari kubwa kwani huku si kujenga tena ila ni kukomoana
 
Kukomona kati ya nani na nani to be precise? Ukweli unaujua lakini unapindisha dhamira yako!
 
Back
Top Bottom