Polisi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,082
- 639
Wakuu mimi ni mmoja wa watanganyika wengi ambao hatukuona mkutano wa jwtz na wahariri wa vyombo vya habari kutokana na side effect ya dowans. Leo bahati nzuri nimebahatika kuangalia marudio kupitia itv. Nimewasikiliza kwa makini sasa wasemaji wote wawili na nimekuja na summary ifuatayo;
1.je ni JESHI ndilo linalopaswa kuwa mbali na wananchi au WANANCHI ndo
wanaopaswa kukaa mbali na jeshi
2.siku chache kabla ya milipuko UKAGUZI
ulikuwa umefanyika na mkaguzi
alikuwa bado hata hajakamlisha repoti
na kutoa recommendations zake
3 Baada ya milipuko ya mbagala,
tahadhari zote zilishachukuliwa
kuhakikisha kuwa milipuko haitokei
tena MBAGALA.
4. Jeshi lina watalaam na hivi karibuni
kuna vijana wamerudi toka CHINA
5. Jeshi LILIFURAHI SANA wananchi wa
mbagala kulipwa fidia
MY CONCERN KWA KILA HOIA 1-5
1.Wananchi ndo wanapaswa wakae mbali
na kambi za jeshi
2.Wakaguzi wa jeshi hawako huru
3.Emphasis ingekuwa ni kuhakikisha
milipuko haitokei popote tz badala ya
mbagala tu
4. Whether China ni nchi sahihi katika
masuala ya kijeshi au la
5. Fidia si mbadala wa roho za watu na
hivyo si kitu cha kufurahia
naomba kuwasilisha wakuu
1.je ni JESHI ndilo linalopaswa kuwa mbali na wananchi au WANANCHI ndo
wanaopaswa kukaa mbali na jeshi
2.siku chache kabla ya milipuko UKAGUZI
ulikuwa umefanyika na mkaguzi
alikuwa bado hata hajakamlisha repoti
na kutoa recommendations zake
3 Baada ya milipuko ya mbagala,
tahadhari zote zilishachukuliwa
kuhakikisha kuwa milipuko haitokei
tena MBAGALA.
4. Jeshi lina watalaam na hivi karibuni
kuna vijana wamerudi toka CHINA
5. Jeshi LILIFURAHI SANA wananchi wa
mbagala kulipwa fidia
MY CONCERN KWA KILA HOIA 1-5
1.Wananchi ndo wanapaswa wakae mbali
na kambi za jeshi
2.Wakaguzi wa jeshi hawako huru
3.Emphasis ingekuwa ni kuhakikisha
milipuko haitokei popote tz badala ya
mbagala tu
4. Whether China ni nchi sahihi katika
masuala ya kijeshi au la
5. Fidia si mbadala wa roho za watu na
hivyo si kitu cha kufurahia
naomba kuwasilisha wakuu