Hoja nzito kuhusu tsunami

OsamaBinLaden

JF-Expert Member
May 2, 2009
706
3
HOJA NZITO KUHUSU TSUNAMI
HILI TUKIO LILOTOKEA INDONESIA NA KUUA WATU WENGI MAFURIKO YALIWEZA KUKOMBA KILA KITU KILICHOKUWA MBELE YAKE NA KUSABABISHA UHARIBIFU MKUBWA KATIKA MAKAZI YA WATU WA MIJI KADHA WA KADHA LAKINI TUKIO HILI LILETA MASWALI MENGI KWA WATU WA MIJI HIYO BAADA KUSHANGAZWA NA UHARIBIFU WA MAJI HAYO YA TSUNAMI KWANI PAMOJA NA UHARIBIFU HUO ULIOWEZA KUCHUKUA KILA KITU BALI ULIACHA NYUMBA ZA IBADA .

JE SWALI HILI NI TUKIO LA KISAYANSI, AU NI KITU GANI KILISABABISHA MSHANGAO HUO. VIDEO CHINI INATHIBITISHA HILI.

[ame=http://www.youtube.com/watch?v=4yxXl5xNdjU]YouTube - Tsunami Miracle[/ame]
 
Mnajua ndg zangu 'wanyenyekevu' your gullibility can't cease to amaze me..sasa hapo muujiza uko wapi?

Yaani misikiti imejengwa kwa columns nene kama zile zimestahamili tsunami unasema muujiza.. sasa zingestamili tsunami pamoja kujengwa kwa fito mngesema nini?
 
Mnajua ndg zangu 'wanyenyekevu' your gullibility can't cease to amaze me..sasa hapo muujiza uko wapi?

Yaani misikiti imejengwa kwa columns nene kama zile zimestahamili tsunami unasema muujiza.. sasa zingestamili tsunami pamoja kujengwa kwa fito mngesema nini?
.
Unamaanisha makanisa yalijengwa kwa fito ndio maana ya kaanguka?? tutaendelea kuwaonjesha dalili zetu mpaka iwabainikie hii ni HAKI ITOKAYO KWA MUNGU WA KWELI
 
What about this?
Hapa inakuwaje mpaka mafuriko yanaingia............... humo ndani hapa mnatuambia nini sasa.
Kaaba_flood2.jpg


floodedkabba1941.jpg


kaaba2.gif


Flood_View_Inside_of_Safa_Marwa_1940.jpg


1400356395_31dc7a3749.jpg


1401247982_3db4faa70e.jpg


must_see.jpg


haya hapa mbona mbona hakuzuia haya maji eeeeh sindio mkisali huwa mnaelekea hapo ambapo ni mahali patakatifu kwenu?
 
Last edited:
MKANYA

haya hapa mbona mbona hakuzuia haya maji eeeeh sindio mkisali huwa mnaelekea hapo ambapo ni mahali patakatifu kwenu?

PICHA ULIYO TOA NI MAJI YALIJAA NA MVUA LAKINI HAYAKUHARIBU CHOCHOTE NI TAFAUTI KABISA TSUNAMI!!!!!


MKANYA HATA KWENYE TSUNAMI MAJI YALIJAA MISIKITINI LAKINI SWALI KWANI MAGOROFA, MAHOTELI, NA MAJENGO MENGINE YOTE YAMETEKETEA LAKINI MISIKITI ILIBAKIIIII?
 
lol..Mkanya umeniacha hoi..hawa jamaa kwa kujijaza ujinga utawaweza? Bora umewapa hiyo mifuriko ya nyumba ya mungu mwezi Kaaba.
 
.
Unamaanisha makanisa yalijengwa kwa fito ndio maana ya kaanguka?? tutaendelea kuwaonjesha dalili zetu mpaka iwabainikie hii ni HAKI ITOKAYO KWA MUNGU WA KWELI

Habari za makanisa zinaingiaje hapa? habari za mungu wako baki nazo, maana zinawafaa watu kama wewe msotaka kutumia akili zenu.
 
Hii inaonesha kuna mahitaji makubwa sana ya Jukwaa la DINI
Mkuu invisible pliiiiza bana lete mkeka wa swalaa hapa watu waandike maakuli
 
QURAN SURA 13.
17. Ameteremsha maji kutoka mbinguni. Na mabonde yakamiminika maji kwa kadiri yake. Na mafuriko yakachukua mapovu yaliyo kusanyika juu yake. Na kutokana na wanavyo yayusha katika moto kwa kutaka mapambo au vyombo hutokea povu vile vile. Namna hivyo Mwenyezi Mungu ndivyo anavyo piga mifano ya Haki na baat'ili. Basi lile povu linapita kama takataka tu basi. Ama kinacho wafaa watu hubakia kwenye ardhi. Hivi ndivyo Mwenyezi Mungu anavyo piga mifano. ***
 
QURAN SURA 17 (88-96)

88. Sema: Wangeli kusanyika watu na majini ili walete mfano wa hii Qur'ani basi hawaleti mfano wake, hata wakisaidiana wao kwa wao. ***

89. Na hakika tumewaeleza watu katika hii Qur'ani kwa kila mfano. Lakini watu wengi wanakataa isipo kuwa kukanusha tu. ***

90. Na walisema: Hatutakuamini mpaka ututimbulie chemchem katika ardhi hii. ***

91. Au uwe na kitalu cha mitende na mizabibu, na utupitishie mito kati yake ikimiminika. ***

92. Au utuangushie mbingu vipande vipande kama ulivyo dai; au utuletee Mwenyezi Mungu na Malaika uso kwa uso. ***

93. Au uwe na nyumba ya dhahabu, au upae mbinguni. Wala hatutaamini kupaa kwako mpaka ututeremshie kitabu tukisome. Sema: Subhana Rabbi, Ametakasika Mola wangu Mlezi! Kwani mimi ni nani isipo kuwa ni mwanaadamu na Mtume? ***


94. Na nini kilicho wazuilia watu kuamini ulipo wajia uwongofu isipo kuwa walisema: Je! Mwenyezi Mungu humtuma mwanaadamu kuwa ni Mtume? ***

95. Sema: Ingeli kuwa duniani wapo Malaika wanatembea kwa utulivu wao, basi bila ya shaka tungeli wateremshia Malaika kuwa ni Mtume wao. ***

96. Sema: Mwenyezi Mungu anatosha kuwa Shahidi baina yangu na nyinyi. Hakika Yeye anawajua vyema waja wake na anawaona. ***

HAWA NI WATU WAOVU AMBAO HUKUMU YA KUPOTEA IMEWAPITIA TAYARI KWA HIYO KWA MAJIBU HAYA YANAONYESHA KUJIKWEZA KWAO BALI WAO SI CHOCHOTE KWA MWENYEZI MUNGU.

TUANGALIE MUNGU ANASEMAJE TENA KUHUSU MIUJIZA:-

59. Na hapana kinacho tuzuia kupeleka miujiza ila ni kuwa watu wa zamani waliikanusha. Na tuliwapa Wathamudi ngamia jike kuwa ni Ishara iliyo dhaahiri, lakini walidhulumu kwaye. Nasi hatupeleki Ishara ila kwa ajili ya kuhadharisha. ***

67. Na inapo kufikieni taabu katika bahari, hao mnao waomba wanapotea, isipo kuwa Yeye tu. Na anapo kuvueni mkafika nchi kavu, mnageuka. Ama mwanaadamu ni mwingi wa kukanusha. ***

43. Subhanahu Wa Taa'la, Ametakasika na Ametukuka juu kabisa na hayo wanayo yasema. ***

44. Zinamtakasa zote mbingu saba na ardhi na vyote viliomo ndani yake. Na hapana kitu ila kinamtakasa kwa sifa zake. Lakini nyinyi hamfahamu kutakasa kwake. Hakika Yeye ni Mpole na Mwenye maghfira. ***
 
QURAN SURA 13.
17. Ameteremsha maji kutoka mbinguni. Na mabonde yakamiminika maji kwa kadiri yake. Na mafuriko yakachukua mapovu yaliyo kusanyika juu yake. Na kutokana na wanavyo yayusha katika moto kwa kutaka mapambo au vyombo hutokea povu vile vile. Namna hivyo Mwenyezi Mungu ndivyo anavyo piga mifano ya Haki na baat'ili. Basi lile povu linapita kama takataka tu basi. Ama kinacho wafaa watu hubakia kwenye ardhi. Hivi ndivyo Mwenyezi Mungu anavyo piga mifano. ***

olololllo..kwa hiyo mbinguni (kwa mungu alieandika Koran) ndio maji ya mvua yanahifadhiwa..?! I bet huyu mungu kweli hana maarifat..halafu hayo mapovu ndo nini? halafu nani kasema mvua inanyesha mabondeni kwa kadiri yake..sasa mafuriko yanatokeaje kama kila mvua inaenda kwa kipimo 'mabondeni'? kwa hiyo ina maana hata Qaaba ni bondeni? lol..watu wanaoishi pangoni can't cease to amaze me..
 
.
Unamaanisha makanisa yalijengwa kwa fito ndio maana ya kaanguka?? tutaendelea kuwaonjesha dalili zetu mpaka iwabainikie hii ni HAKI ITOKAYO KWA MUNGU WA KWELI

Indonesia kuana Makanisa mangapi????? 99% musilm, yangebaki yatoke wapi wakati hayakuwepo!!!
 
QURAN SURA 17 (88-96)

88. Sema: Wangeli kusanyika watu na majini ili walete mfano wa hii Qur'ani basi hawaleti mfano wake, hata wakisaidiana wao kwa wao. ***

89. Na hakika tumewaeleza watu katika hii Qur'ani kwa kila mfano. Lakini watu wengi wanakataa isipo kuwa kukanusha tu. ***

90. Na walisema: Hatutakuamini mpaka ututimbulie chemchem katika ardhi hii. ***

91. Au uwe na kitalu cha mitende na mizabibu, na utupitishie mito kati yake ikimiminika. ***

92. Au utuangushie mbingu vipande vipande kama ulivyo dai; au utuletee Mwenyezi Mungu na Malaika uso kwa uso. ***

93. Au uwe na nyumba ya dhahabu, au upae mbinguni. Wala hatutaamini kupaa kwako mpaka ututeremshie kitabu tukisome. Sema: Subhana Rabbi, Ametakasika Mola wangu Mlezi! Kwani mimi ni nani isipo kuwa ni mwanaadamu na Mtume? ***


94. Na nini kilicho wazuilia watu kuamini ulipo wajia uwongofu isipo kuwa walisema: Je! Mwenyezi Mungu humtuma mwanaadamu kuwa ni Mtume? ***

95. Sema: Ingeli kuwa duniani wapo Malaika wanatembea kwa utulivu wao, basi bila ya shaka tungeli wateremshia Malaika kuwa ni Mtume wao. ***

96. Sema: Mwenyezi Mungu anatosha kuwa Shahidi baina yangu na nyinyi. Hakika Yeye anawajua vyema waja wake na anawaona. ***

HAWA NI WATU WAOVU AMBAO HUKUMU YA KUPOTEA IMEWAPITIA TAYARI KWA HIYO KWA MAJIBU HAYA YANAONYESHA KUJIKWEZA KWAO BALI WAO SI CHOCHOTE KWA MWENYEZI MUNGU.

TUANGALIE MUNGU ANASEMAJE TENA KUHUSU MIUJIZA:-

59. Na hapana kinacho tuzuia kupeleka miujiza ila ni kuwa watu wa zamani waliikanusha. Na tuliwapa Wathamudi ngamia jike kuwa ni Ishara iliyo dhaahiri, lakini walidhulumu kwaye. Nasi hatupeleki Ishara ila kwa ajili ya kuhadharisha. ***

67. Na inapo kufikieni taabu katika bahari, hao mnao waomba wanapotea, isipo kuwa Yeye tu. Na anapo kuvueni mkafika nchi kavu, mnageuka. Ama mwanaadamu ni mwingi wa kukanusha. ***

43. Subhanahu Wa Taa'la, Ametakasika na Ametukuka juu kabisa na hayo wanayo yasema. ***

44. Zinamtakasa zote mbingu saba na ardhi na vyote viliomo ndani yake. Na hapana kitu ila kinamtakasa kwa sifa zake. Lakini nyinyi hamfahamu kutakasa kwake. Hakika Yeye ni Mpole na Mwenye maghfira. ***

You can keep this BS za Mwamedi to yourself..lete hoja za maana nini kinachokupelekea kuamini kuwa kunusurika kwa misikiti au msikiti ni muujiza..usilete sarakasi za hii mipasho ya mwamedi ambayo hata kuithibitisha huwezi.

Kwa mfano nikiangalia hii video uliyoleta, haionekani kuwa hii tsunami ingeufikia huo msikiti na nguvu kubwa maana ile nguvu ya shock wave inakuwa na damping with dispacement na ule msikiti unaonekana uko mbali na maji ya bahari..sasa lete maelezo ya kuridhisha, ya kisayansi to be exact, ili tusikupuuze. Kuendelea kurukaruka kama mwewe kutatafsiriwa kama ukichaa.

haya naandaa mbavu zangu kabisa..
 
you can keep this bs za mwamedi to yourself..lete hoja za maana nini kinachokupelekea kuamini kuwa kunusurika kwa misikiti au msikiti ni muujiza..usilete sarakasi za hii mipasho ya mwamedi ambayo hata kuithibitisha huwezi.

Kwa mfano nikiangalia hii video uliyoleta, haionekani kuwa hii tsunami ingeufikia huo msikiti na nguvu kubwa maana ile nguvu ya shock wave inakuwa na damping with dispacement na ule msikiti unaonekana uko mbali na maji ya bahari..sasa lete maelezo ya kuridhisha, ya kisayansi to be exact, ili tusikupuuze. Kuendelea kurukaruka kama mwewe kutatafsiriwa kama ukichaa.

haya naandaa mbavu zangu kabisa..

ndugu mtindio wa mgongo

angalia tena hiyo video kwani sio msikiti mmoja bali ni misikiti mingi na huo ulikuwa ni mji ndugu yangu kwa hio nakusiihi ufatilie kwa makini na sio kwa video hiyo tuu bali vyombo vingi vya habari vya kilimwengu vilidiscuss hilo tukio kwa kina tuu sijui ulikuwepo wapi kwani jambo hiloo si geni kwa watu wengi .
 
What about this?
Hapa inakuwaje mpaka mafuriko yanaingia............... humo ndani hapa mnatuambia nini sasa.
Kaaba_flood2.jpg


floodedkabba1941.jpg


kaaba2.gif


Flood_View_Inside_of_Safa_Marwa_1940.jpg


1400356395_31dc7a3749.jpg


1401247982_3db4faa70e.jpg


must_see.jpg


haya hapa mbona mbona hakuzuia haya maji eeeeh sindio mkisali huwa mnaelekea hapo ambapo ni mahali patakatifu kwenu?


Maendeleo safi sana mnatupa na ushahidi wa images, bigup Mk.
Lakini Sunami ilitokea bahari huku ikiambaa ufukweni.
Mahotel yamejengwa baharini kabisa tena wafanya kuisogeza bahari.
Je! Huo msikiti ulijegwa ufukweni?
 
ndugu mtindio wa mgongo

angalia tena hiyo video kwani sio msikiti mmoja bali ni misikiti mingi na huo ulikuwa ni mji ndugu yangu kwa hio nakusiihi ufatilie kwa makini na sio kwa video hiyo tuu bali vyombo vingi vya habari vya kilimwengu vilidiscuss hilo tukio kwa kina tuu sijui ulikuwepo wapi kwani jambo hiloo si geni kwa watu wengi .

Ok ndg Osama wa Vingunguti a.k.a mahakama ya mbuzi.

Nasikitika kuwa umeshindwa kuleta majibu mujarabu kwa nini waamini kuwa hayo matukio ni miujiza. Najua unaamini kuwa na miujiza si kwa sababu yeyote ile ila kwa sababu unapenda iwe miujiza..this is not enough by any logical means na nakusikitikia kwa hilo. Siwezi kukusaidia kuelewa, nachoweza kufanya ni kuchochea ili uelewe, zaidi ya hapo sina msaada.
 
Nimeuliza Msikiti ulijengwa kwenye fukwe?
Naomba majibu kwanini watu wanakimbia maswali wakati wao ndo waaanzilishi jamani mtakimbia maswali mpaka lini?
 
Back
Top Bottom