Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,442
- 113,450
Thanks mkuu FJM for joining the team!. Hivi sisi Watanzania, mbona huwa hatujiulizi, sisi ndio tuna wakimbiaji mahiri since time immemorial, kina Filbert Bayi, Suleiman Nyambui, Gidamis Shanga, Nzael Kiyomo, Juma Ikaangaa etc, etc, Wakenya walikuwa nyuma yetu!. Sasa Wakenya ndio machampioni wa mbio ndefu!, Watanzania..kwishney!, Hivi kuna mnao jiuliza Wakenya wanatushindaje?!. Wakenya wanatushinda kwa ku file, runners na run mates ambao ni wasindikizaji!, wanaitwa "pace makers"!, hawa kazi yao huwa ni kukitimka mbio ili kuwachanganya na kuwachosha opponents washindwe ku-maitain constancy pace! ili the true runner wetu aweze kumaitain his pace, and win the victory!. EL could make a good "pace maker so du Membe!".Nakubali, Membe ndiye chaguo bora kwa CCM. Atasaidia sana 'kuleta mageuzi' ya kweli.
P.