Hoja kuwa wanawake wa kichaga wazuri kisura mapenzi ni sifuri - Napingana nayo!

Status
Not open for further replies.
mkuu candid scope ni kweli maelezo yako kuhusu mapenzi, mapenzi ya kweli yana heshima yake na ndilo nionalo kwa wasichana wa kichaga!!!!!!!!! Wachaga hawajipeleki faaa, ua kujirahisisha mara nyingi ingawa si wote wanaangalia mtu aliye serious kwenye huo uhusiano wa mapenzi!!! Ni wakarimu lakini wanajijali wanajiheshimu sio limbukeni wanachagua ni makini, coz uhusiano wa mapenzi matokeo yake sahihi ni kuoana sikufanya umalaya kulalana ovyo!!!!! Tabia hizo za wasichana wakichaga zinawapatia wanaume waliotayali kuoa na si vinginevyo!!!!!!!!

asante sana.
 
Japo hii inatupendelea was it necessary? Maana nnachoana ni majadala kuelekea kule kule tulipokua kwenye ile thread nyingine.

Mara moja moja watu wawe wanaongelea makabila yao nayo yauze jina, sie tushatambulika vya kutosha.

question.jpg

Huyo ndo mchaga original,....hataki upimbi kwenye masuala ya shilingi.
 
Kinacho nisikitisha sana ni kwamba wadada wengi walisha kubali kuitwa
"MADEMU",.....thubutu kumuita mchumba wangu hivo afu tuko wote uone.
 
Yangekuwepo mazuri yangeongelewa, kwa sasa yanaonekana mengine ni kigugumizi kuyaanika ndio maana walio wazi katika tamaduni wao wanaanikwa hadharani.

Basi watumie muda kuweka yao sawa ili nao wapate cha kuongelea, ongelewa na kujivunia.
 
View attachment 45600

Huyo ndo mchaga original,....hataki upimbi kwenye masuala ya shilingi.

Kilichohangaikiwa shurti kiangaliwe kwa umakini.
Kinacho nisikitisha sana ni kwamba wadada wengi walisha kubali kuitwa
"MADEMU",.....thubutu kumuita mchumba wangu hivo afu tuko wote uone.

Mwanzoni nlikua najitahidi sana kuwaambia watu aache kutumia maneno ya ajabu ajabu ila baada ya kuona hata wadada nao wanatumia nimeamua kutulia, alimradi tu nisije nikaitwa mimi personally.
 
Japo hii inatupendelea was it necessary? Maana nnachoana ni majadala kuelekea kule kule tulipokua kwenye ile thread nyingine.

Mara moja moja watu wawe wanaongelea makabila yao nayo yauze jina, sie tushatambulika vya kutosha.
lolz sikujua aisee.....nina negative aspect na mashori wa kichaga aisee.....kwa mtazamo wangu mashori wa kichaga ni opportunist akiwa na wewe ujue ameshajua mfuko wako ukoje......

.....haya mambo unawea ona simpo lakini ni kweli.......ndio maana wazee wetu walituhasa tusioe kabila au jamii fulani.....
 
lolz sikujua aisee.....nina negative aspect na mashori wa kichaga aisee.....kwa mtazamo wangu mashori wa kichaga ni opportunist akiwa na wewe ujue ameshajua mfuko wako ukoje......

.....haya mambo unawea ona simpo lakini ni kweli.......ndio maana wazee wetu walituhasa tusioe kabila au jamii fulani.....
Ahhh well. . .
Negative or not we are still here,still getting that paper, still getting 'em men and we are living the life.
 
lolz sikujua aisee.....nina negative aspect na mashori wa kichaga aisee.....kwa mtazamo wangu mashori wa kichaga ni opportunist akiwa na wewe ujue ameshajua mfuko wako ukoje......

.....haya mambo unawea ona simpo lakini ni kweli.......ndio maana wazee wetu walituhasa tusioe kabila au jamii fulani.....

Inawezekana usemalo lilikuwepo na huenda limebadilika kutokana na wakati. Kuna wakati niliambiwa nikioa mchaga niende nikajenge kwao. lakini jamaa yangu mmoja alioa mchaga sijakuna dhana hiyo na mambo ni poa kabisa kama angeoa wa kabila lake.

Mtu mwenye akili timamu sidhani atakubali kwenda kuolewa na mwendawazimu, au maskini asiyeweza kutunza familia yake. Sasa ni nani hapa Tanzania yuko tayari kuolewa na mwanaume aliye katika lindi la umaskini asiye onyesha tumaini la kutunza familia yake? Kama anataka pesa na kwenda zake hapo ni fuska, lakini kama anataka mwanaume wa kuishi naye ili kuwa maisha mazuri na kuijenga vema familia tatizo liko wapi? Wafanya biashara ya ufuska ni wengi na wako kila kona Tanzania lakini si kielelezo kwamba wote wako hivyo.
 
Kinacho nisikitisha sana ni kwamba wadada wengi walisha kubali kuitwa
"MADEMU",.....thubutu kumuita mchumba wangu hivo afu tuko wote uone.

kungekuwa na option ya kugonga like zaidi ya moja ningekugongea!!!!
 
Kwanini umetumia kama hujui maana?

Mimi sijalitumia neno 'DEMU', ila nimenukuru kichwa hicho kutoka kwenye uzi ulioletwa siku kadhaa, ingwa najua lina maana ya wasichana, lakini maana kamili ya demu no idea, can you be patient Lizzy to expain to me?
 
Dame
1. woman or girl: a term for a woman or girl (often considered offensive)

Microsoft® Encarta® 2009. © 1993-2008 Microsoft Corporation. All rights reserved.

Thanks Clemmy, kumbe noun hii imetoholewa kutoka neno la kiingereza na kuliswahilisha. Kwa maana ya neno hili lilivyo kuwaita wasichana kwa jina hilo ni kuwadhalilisha au kuwavunjia heshima zao stahiki.
 
me mbona nadate na mmachame,na mambo yote yapo poa! mna yenu mambo bana...waacheni dada zangu!
 
Mimi sijalitumia neno 'DEMU', ila nimenukuru kichwa hicho kutoka kwenye uzi ulioletwa siku kadhaa, ingwa najua lina maana ya wasichana, lakini maana kamili ya demu no idea, can you be patient Lizzy to expain to me?

Neno sahihi linatoka kwenye lugha ya kifaransa 'DAME' na linamaanisha lady, kiingereza mwanamke(haijakaa kiheshima). Ila DEMU linalotumika kwetu linatokana na lugha ya mtaani likimaanisha msichana, mara nyingi likilenga kumdharau/dharaulisha muitwaji.
 
Neno sahihi linatoka kwenye lugha ya kifaransa 'DAME' na linamaanisha lady, kiingereza mwanamke(haijakaa kiheshima). Ila DEMU linalotumika kwetu linatokana na lugha ya mtaani likimaanisha msichana, mara nyingi likilenga kumdharau/dharaulisha muitwaji.

hayo ndiyo moja ya mambo nisiyopenda jukwaa hili, maana mambo mengi yanayoongelewa huwa na viashiria vyenye viluilui vya kukosea heshima za watu, damaduni za watu na mengineyo.

Afadhali ya jukwa hili mtu kuna kujadili point, lakini lile jingine la uchochoroni nilipotembelea mara fulani nikaliona kama Zeutamu.
 
hayo ndiyo moja ya mambo nisiyopenda jukwaa hili, maana mambo mengi yanayoongelewa huwa na viashiria vyenye viluilui vya kukosea heshima za watu, damaduni za watu na mengineyo.

Afadhali ya jukwa hili mtu kuna kujadili point, lakini lile jingine la uchochoroni nilipotembelea mara fulani nikaliona kama Zeutamu.

Hamna cha unafuu wala nini, chuki, dharau na majungu yamejaa tele hapa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom