Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,184
- 671
Kama wewe ni mpenda mabadiliko mbona vyama viko karibu 20 kwani haujaviona hivyo vyama? kawaulize ccm wenzako ni lini zilitolewa fomu za kugombea uenyekiti wa ccm taifa? au waulize ccm wenzako safu nzima ya uongozi wa kitaifa ilishawahi kuchaguliwa kidemokrasia? kweli sasa sasa nimeamini msemo wa Rev Masaniro ni sahihi, kwamba ukiona mwanamume ana makalio makubwa basi ujue kichwani ni empty.
ndio maana tunaihitaji katiba mpya ili katika hiyo katiba mpya tuingize na haki za mashoga kupigwa pipe, maana humu kuna watu bila kutaja neno zitto basi sehemu zao za siri za nyuma huwa zinanyevuanyevua.
kwa CHADEMA ni CCM C na nyny mlisema kuwa CCM haiwezi kuwa role model wenu?
au kwenye haya ya kutaka muendeshe chama kibabe ndio mnataka kurelate CCM
kwa kweli nyny ni wafu mnaosubiri wakati wa kuzikwa