chimpa100
Member
- Mar 28, 2012
- 44
- 5
Kama mdau nawasilisha yafauatayo;;kama tunavyoelewa jf ni uwanja wa majadiliano,habari na hoja mbalimbali asa tofauti na inavyotarajiwa baadhi ya wana jf wanatumia vibaya kianzio cha hoja asa wale wanoanza na neno "news alerts" afu ukisoma habari unakuta ni tetesi kwa hili tujirekebisheni wadau