georgeallen
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 4,118
- 1,868
Kutokana na umahiri wa Mwigulu Nchemba wa kunukulu matheories na theorists kibao, kukandia bajeti ya upinzani, kuiita rubbish na kuitupa; nakusudia kupeleka hoja binafsi kwa mkuu wa kaya ili amteue awe waziri wa Fedha. Kwa Wananiunga mkono tafadhali changieni hoja zenu zenye mshiko hapa . Nafikiri atatufaa huyu kijana kuliko yule mzee wa kihehe.