Hofu ya nguvu ya umma

mzamifu

JF-Expert Member
Mar 10, 2010
6,379
3,826
Tangu nchi za kaskazini mwa afrika kukumbwa na mapinduzi yaliyojikita zaidi katika kile kinaichoitwa nguvu ya umma yaani People's Powower kwa vyovyote nchi nyingine barani Afrika zinaweza kujenga hofu ya kukumbwa na hali kama hiyo.
Hivyo kila inapoonekana dalili ya kuandamana au kukusanyika kwa makundi yoyote vyombo vya dola lazima vi-react kwa nguvu zote ku-supress such movement ili kuepusha makubwa zaidi. Je, yaliyotikea Arusha, Morogoro na Iringa yanaweza kutafsriwa kama matokeo ya hofu ya namna hiyo?
 
Nionavyo mimi mashambulizi makali ya jeshi la polisi dhidi ya CDM yanalenga: Kutisha wananchi na kuipa CDM taswira ya chama cha vurugu kama ilivyofanyiwa CUF na kutangazwa na IGP mwaka 2005 kwamba imeleta kontena lililojaa visu/majambia ya kuulia watanzania. Ndiyo maana kila mara wanaua watu na kuitwisha CDM lawama!...
 
Back
Top Bottom