"Hofu ya Mh. Zitto"

ngoshwe

JF-Expert Member
Mar 31, 2009
4,131
925
526684_168369766624960_685122678_n.jpg


Labda hofu ya Mh. Zitto na GMOs:""??
 
Sijakuelewa mkuu. ufafanuzi tafadhali..

Wakati wa bajeti ya kilimo Zito alipinga sana serikali kuruhusu mazao yaliyooteshwa kwa njia ya Genetically modified, sijui kama nimeweka lugha sawa lakini ndio hivyo. Sasa ona hilo hindi kubwa kuliko mtu, je kuna usalama kwa chakula cha aina hiyo. Ni sawa na hawa kuku wanaofugwa kwa mwezi mmoja na tunalishwa bini adam.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom