Habari hii ipo kwenye gazeti la Mwananchi la Jumapili kwamba Peter Nyamanyafu (34) kijana kutoka Buhare Musoma Mjini ameamua kufunga kwa kufuli sehemu zake za siri na funguo kumkabidhi Mchungaji ikiwa njia aliyoona inafaa kumweka mbali na maambukizi ya Ukimwi (VVU).
Akielezea jinsi alivyojitengeneza na kufunga kufuli hilo, Nyamanyafu anasema "nilichemsha mdenge (spoku) ya baiskeli kwenye moto, kisha nikatoboa na kufunga kufuli. Kwa kweli maumivu yalikuwa makali lakin nilivumilia kwa sababu nilikuwa nimedhamiria"
Haya wana MMU njia ya kujikinga na maambukizi hiyo baada ya ABC kutokuwa effective.
Ukimwi upo na unaua.
Akielezea jinsi alivyojitengeneza na kufunga kufuli hilo, Nyamanyafu anasema "nilichemsha mdenge (spoku) ya baiskeli kwenye moto, kisha nikatoboa na kufunga kufuli. Kwa kweli maumivu yalikuwa makali lakin nilivumilia kwa sababu nilikuwa nimedhamiria"
Haya wana MMU njia ya kujikinga na maambukizi hiyo baada ya ABC kutokuwa effective.
Ukimwi upo na unaua.