Hofu na mashaka...!!

Kisoda2

JF-Expert Member
May 30, 2008
2,475
745
kuna binti mmoja kwa jina Lusanji(aka hiyo) kutoka Arusha amekua katika mahusiano ya kimapenzi na kijana kwa muda mrefu sasa.Bahati nzuri wote wamepata nafasi za kwenda kusoma elimu ya juu ila vyuo ni tofauti.Kijana kwakua amekolea kwa Lusanji,amemtaka afnye ile kitu inaitwa kifunga uchumba(Engagement) kabisa kabla ya kwenda masomoni ili kuendelea nakulidumisha penzi la wawili hawa.
Sasa kazi iko kwa Lusanji.
Anajiuliza:Je,aingie katika hiyo strong commitment ama la?maana mazingira ya vyuo yanajulikana na hasa ukizingatia kuna aina tofauti ya watu atakao kutana nao mpenzi wake huko aendako ,kwaweza mbadilisha mawazo akajikuta kaachwa kwenye kona kali.

Je wewe unamshauri nini ?

Naomba kuwasilisha.
 
Hiyo distance ndiyo itakayopima mapenzi yao. Asikubali kujitia kitanzi. Wapo walioyafanya hayo na wakaishia fedheha na pete kuzitupa baharini.
 
binti kama kapata UDSM na atakaa Mabibo hostel, namsikitikia ndugu yangu, wachumba wa watu wametafunwa sana pale hadi wengine wanavua pete za uchumba
 
Kimsingi hasimvalishe huyo binti pete ya uchumba asubiri angalau afike mwaka wa mwisho wa masomo yake hapo kidogo anaweza kuwa na uhakika kuwa ni wa kwake.
Mwambie mshikaji atakuja kulia machozi mdegree kisa demu, Hawa viumbe hawatabiriki bwana utafikiri mwalimu wao mmoja
 
binti kama kapata UDSM na atakaa Mabibo hostel, namsikitikia ndugu yangu, wachumba wa watu wametafunwa sana pale hadi wengine wanavua pete za uchumba

Sipo yaani ulivyoandika utafikiri yeye mchumbiaji hawezi kubadilika..... kha!!
 
...kuvishana pate sio kuoana. Wavishane tu kujipima uwezo wao binafsi wa kulidhibiti pendo.

Watu wamejifunga pingu za maisha bado 'wanazini' itakuwa hao vyuo tofauti?
 
hata avishwe pete elfu moja...kama ni wakucheat atafanya tu hizo pete hazitomzuia... kama kwali wamependana an kuamua kuwa pamoja irrespective of the distance....pete isnt necessary. mbona wanacheat wakiwa chuoni kimoja tu?
 
binti kama kapata UDSM na atakaa Mabibo hostel, namsikitikia ndugu yangu, wachumba wa watu wametafunwa sana pale hadi wengine wanavua pete za uchumba


ahahahahah wanatafunwa na meno kikweli nini???? hiyo mabibo siku nitkayokuja dar lazima niipitie kuiona tu!! very famous hapa JF...hivi wengi wenu mmepitia pale nini kutafuta vitafunio???? te te te te
 
Wakuu hofu ipo kwa dada Lusanji siyo mshikaji.


hivyo anahofia asije vikwa hilo jipete ikawa ndo jipeeteeeeeeee
 
Kwani akivaa iyo pete kinamdhuru nini? kwani kama amemkabidhi moyo wake kuna cha zaidi? wala hakuna haja ya yote hayo. waendelee kupendana tu, kama wanadhani kuwa wanapendana, ila kama wana wasi wasi hivyo nina wasi wasi kama they are at all serious. bado wachanga kwenye mambo ya mapenzi, au kuna upande mmoja hauijiamini
 
duh nyie mkasome mambo ya kupendana mumeyajulia wapi? nenda shika kitabu hadi mupauke, pete mnajua hata bei ya pete?au mnataka muwasumbue watu kuwachangia hata kununua pete?we achaneni kama mnapendana kweli hata bila pete mtaoana tu, but nyie yaelekea mnatamaniana tu!si kutoka moyoni. tofautisha tamaa na kupenda!! bye masomo mema!
 
kuna binti mmoja kwa jina Lusanji(aka hiyo) kutoka Arusha amekua katika mahusiano ya kimapenzi na kijana kwa muda mrefu sasa.Bahati nzuri wote wamepata nafasi za kwenda kusoma elimu ya juu ila vyuo ni tofauti.Kijana kwakua amekolea kwa Lusanji,amemtaka afnye ile kitu inaitwa kifunga uchumba(Engagement) kabisa kabla ya kwenda masomoni ili kuendelea nakulidumisha penzi la wawili hawa.
Sasa kazi iko kwa Lusanji.
Anajiuliza:Je,aingie katika hiyo strong commitment ama la?maana mazingira ya vyuo yanajulikana na hasa ukizingatia kuna aina tofauti ya watu atakao kutana nao mpenzi wake huko aendako ,kwaweza mbadilisha mawazo akajikuta kaachwa kwenye kona kali.

Je wewe unamshauri nini ?

Naomba kuwasilisha.


JESUS SAID

Turn to Matthew 5:27-30

27 Ye have heard that it was said by them of old time, Thou shalt not commit adultery:

28 But I say unto you, That whosoever looketh on a woman to lust after her hath committed adultery with her already in his heart.

29 And if thy right eye offend thee, pluck it out, and cast it from thee: for it is profitable for thee that one of thy members should perish, and not that thy whole body should be cast into hell.

30 And if thy right hand offend thee, cut it off, and cast it from thee: for it is profitable for thee that one of thy members should perish, and not that thy whole body should be cast into hell.
 
JESUS SAID

Turn to Matthew 5:27-30

27 Ye have heard that it was said by them of old time, Thou shalt not commit adultery:

28 But I say unto you, That whosoever looketh on a woman to lust after her hath committed adultery with her already in his heart.

29 And if thy right eye offend thee, pluck it out, and cast it from thee: for it is profitable for thee that one of thy members should perish, and not that thy whole body should be cast into hell.

30 And if thy right hand offend thee, cut it off, and cast it from thee: for it is profitable for thee that one of thy members should perish, and not that thy whole body should be cast into hell.

...hii nayo sasa ni 'spidi gavana'! :D
 
Sipo yaani ulivyoandika utafikiri yeye mchumbiaji hawezi kubadilika..... kha!!

Nimepitiwa mpenzi wanawake wanabadilika sana labda kuliko hata wanawake lakini mifano mingi ninayo ya wanawake. Na wanaume wakibadilika huwa hawaachi wachumba zao ila wanakuwa wanagonga tu kimya kimya

Nina experience moja hii hapa amabyo nilidondokea kwa mtoto wa Kinyamwezi wakati niko chuo
Unajua ilkuwaje siku moja alikuja rum kwangu block F mabibo kunitembelea, yeye alikuwa anaishi hapo hapo mabibo ila block A, tukapiga story sasa kwa wanaojua block F hakuna watu wengi sana, na rum kwangu nilikuwa na mshikaji mmoja tu ambaye yeye alikuwa ameenda kutembelea ndugu zake, siku hiyo ilikuwa weekend. Baada ya story kunoga msela nikatoa offer ya kwenda kula chakula cha mchana, sio mbali sana ni cafteria tu hapo nyuma then tukarudi tena room kwangu tukaendelea na story. Sasa mimi nilikuwa nimekaa kwenye kiti ye kakaa kitandani kidogo nikafanya kama nimekosea nikaamia pale kitandani, story zikaendelea kidogo nikawa kama nimekosea tena nikamgusa wakati tunapiga story akakaa kimya, nilimgusa paja halafu alikuwa amepiga khanga tu, duh! nikaona demu kakaa kimya kidogo tena katika kupiga story nikamchomekea kuwa nimempenda, duh kumbe ilikuwa kama kusukuma mlevi vile akakataa kizushi zushi pale

Katika kuendelea kuimbisha huku nagus mara mgongo mara kiuno mara nywele (ugonjwa wangu huo) eeh nikaona hajitingishi, aaah! kijana wa Kimaasai nikazama.....................nikaua tembo kwa ubua

Unajua baada ya mwezi wakati naatka kutangaza uchumba baadaa ya kunogewa na mambo ya Kinyamwezi ndio naambiwa nina mchumba wangu Nzega, Tabora na NAMPENDA SANA, na siwezi kumwacha wewe utaendelea kuwa na mimi wakati niko chuo labda yule kule nimfanyie visa aniache wewe ndio utanipata kwa ujumla

NB
MwanajamiiOne hii ilikuwa long time siku hizi nishakuwa kwahiyo isiwe sababu ya kutofikiria maombi yangu ya kuingia kwenye ufalme wa penzi lako mumy

Angalizo
Kwenye masomo nilikuwa nimetulia, haya mengine yalikuwa by the way tu kwahiyo wale wanaJF ambao ni wanafunzi wasiige sana na wakiiga wawe wajanja
 
Nimepitiwa mpenzi wanawake wanabadilika sana labda kuliko hata wanawake lakini mifano mingi ninayo ya wanawake. Na wanaume wakibadilika huwa hawaachi wachumba zao ila wanakuwa wanagonga tu kimya kimya

Nina experience moja hii hapa amabyo nilidondokea kwa mtoto wa Kinyamwezi wakati niko chuo
Unajua ilkuwaje siku moja alikuja rum kwangu block F mabibo kunitembelea, yeye alikuwa anaishi hapo hapo mabibo ila block A, tukapiga story sasa kwa wanaojua block F hakuna watu wengi sana, na rum kwangu nilikuwa na mshikaji mmoja tu ambaye yeye alikuwa ameenda kutembelea ndugu zake, siku hiyo ilikuwa weekend. Baada ya story kunoga msela nikatoa offer ya kwenda kula chakula cha mchana, sio mbali sana ni cafteria tu hapo nyuma then tukarudi tena room kwangu tukaendelea na story. Sasa mimi nilikuwa nimekaa kwenye kiti ye kakaa kitandani kidogo nikafanya kama nimekosea nikaamia pale kitandani, story zikaendelea kidogo nikawa kama nimekosea tena nikamgusa wakati tunapiga story akakaa kimya, nilimgusa paja halafu alikuwa amepiga khanga tu, duh! nikaona demu kakaa kimya kidogo tena katika kupiga story nikamchomekea kuwa nimempenda, duh kumbe ilikuwa kama kusukuma mlevi vile akakataa kizushi zushi pale

Katika kuendelea kuimbisha huku nagus mara mgongo mara kiuno mara nywele (ugonjwa wangu huo) eeh nikaona hajitingishi, aaah! kijana wa Kimaasai nikazama.....................nikaua tembo kwa ubua

Unajua baada ya mwezi wakati naatka kutangaza uchumba baadaa ya kunogewa na mambo ya Kinyamwezi ndio naambiwa nina mchumba wangu Nzega, Tabora na NAMPENDA SANA, na siwezi kumwacha wewe utaendelea kuwa na mimi wakati niko chuo labda yule kule nimfanyie visa aniache wewe ndio utanipata kwa ujumla

NB
MwanajamiiOne hii ilikuwa long time siku hizi nishakuwa kwahiyo isiwe sababu ya kutofikiria maombi yangu ya kuingia kwenye ufalme wa penzi lako mumy

Angalizo
Kwenye masomo nilikuwa nimetulia, haya mengine yalikuwa by the way tu kwahiyo wale wanaJF ambao ni wanafunzi wasiige sana na wakiiga wawe wajanja

..... Pole Sipo ila nawe kwa nini ukaingia nyumba yawatu bila kuuliza kama kuna wenyewe? Sasa umenasa unaambulia maumivu lol

Haya mmasai wewe ndo ukamkosa hivyo mnyamwezi ( I hope hukuwa unamwambia--- tulia nini nahasungusa sungusa kiuno? kwani naumia?) si ajabu ndo mana kamganda wa Nzega wanayecheza ngoma moja lol (joke rafiki)
 
ahahahahah wanatafunwa na meno kikweli nini???? hiyo mabibo siku nitkayokuja dar lazima niipitie kuiona tu!! very famous hapa JF...hivi wengi wenu mmepitia pale nini kutafuta vitafunio???? te te te te

Dada Shishi wakati unakuja kuiona mabibo hostel UniPM nikupokee halafu nikakupe orientation, uta-enjoy sana dada

ila uje ukiwa umeshafunga ndoa na huyo mchumbako, otherwise anaweza kukupoteza hivi hivi na mimi sitaki kuhusika kwenye lawama za kumpotezea mtu kifaa chake
 
...baadaa ya kunogewa na mambo ya Kinyamwezi ndio naambiwa nina mchumba wangu Nzega, Tabora na NAMPENDA SANA, na siwezi kumwacha wewe utaendelea kuwa na mimi wakati niko chuo labda yule kule nimfanyie visa aniache wewe ndio utanipata kwa ujumla

...duuuh, pole sana,

anyway...mwanamke anayejirahisi hivyo eti yu tayari kumfanyia visa mw'ume wake ili umchukue wewe, ni 'bomu' la kutega!
 
..... Pole Sipo ila nawe kwa nini ukaingia nyumba yawatu bila kuuliza kama kuna wenyewe? Sasa umenasa unaambulia maumivu lol

Haya mmasai wewe ndo ukamkosa hivyo mnyamwezi ( I hope hukuwa unamwambia--- tulia nini nahasungusa sungusa kiuno? kwani naumia?) si ajabu ndo mana kamganda wa Nzega wanayecheza ngoma moja lol (joke rafiki)

Unafikiri wala niliumia sana MJ1
Nilichofanya nilichukua daftari zangu nikaingia library kuandaa presentation nilyokuwa assigned
 
...duuuh, pole sana,

anyway...mwanamke anayejirahisi hivyo eti yu tayari kumfanyia visa mw'ume wake ili umchukue wewe, ni 'bomu' la kutega!

Mhe. Mbu kweli bomu la kutega
Ila mimi nilikataa mpango wake huo wa kumfanyia visa mchumbake, nilichohitaji mimi nikuhakikishiwa kupona tu pale ambako nilijisikia kuwa kuna wadudu wadogowdogo wananyevua nyevua, na hilo lilikuwa linatimizwa karibu kila weekend, kwahiyo nikawa small house
 
Nimepitiwa mpenzi wanawake wanabadilika sana labda kuliko hata wanawake lakini mifano mingi ninayo ya wanawake. Na wanaume wakibadilika huwa hawaachi wachumba zao ila wanakuwa wanagonga tu kimya kimya

Nina experience moja hii hapa amabyo nilidondokea kwa mtoto wa Kinyamwezi wakati niko chuo
Unajua ilkuwaje siku moja alikuja rum kwangu block F mabibo kunitembelea, yeye alikuwa anaishi hapo hapo mabibo ila block A, tukapiga story sasa kwa wanaojua block F hakuna watu wengi sana, na rum kwangu nilikuwa na mshikaji mmoja tu ambaye yeye alikuwa ameenda kutembelea ndugu zake, siku hiyo ilikuwa weekend. Baada ya story kunoga msela nikatoa offer ya kwenda kula chakula cha mchana, sio mbali sana ni cafteria tu hapo nyuma then tukarudi tena room kwangu tukaendelea na story. Sasa mimi nilikuwa nimekaa kwenye kiti ye kakaa kitandani kidogo nikafanya kama nimekosea nikaamia pale kitandani, story zikaendelea kidogo nikawa kama nimekosea tena nikamgusa wakati tunapiga story akakaa kimya, nilimgusa paja halafu alikuwa amepiga khanga tu, duh! nikaona demu kakaa kimya kidogo tena katika kupiga story nikamchomekea kuwa nimempenda, duh kumbe ilikuwa kama kusukuma mlevi vile akakataa kizushi zushi pale

Katika kuendelea kuimbisha huku nagus mara mgongo mara kiuno mara nywele (ugonjwa wangu huo) eeh nikaona hajitingishi, aaah! kijana wa Kimaasai nikazama.....................nikaua tembo kwa ubua

Unajua baada ya mwezi wakati naatka kutangaza uchumba baadaa ya kunogewa na mambo ya Kinyamwezi ndio naambiwa nina mchumba wangu Nzega, Tabora na NAMPENDA SANA, na siwezi kumwacha wewe utaendelea kuwa na mimi wakati niko chuo labda yule kule nimfanyie visa aniache wewe ndio utanipata kwa ujumla

NB
MwanajamiiOne hii ilikuwa long time siku hizi nishakuwa kwahiyo isiwe sababu ya kutofikiria maombi yangu ya kuingia kwenye ufalme wa penzi lako mumy

Angalizo
Kwenye masomo nilikuwa nimetulia, haya mengine yalikuwa by the way tu kwahiyo wale wanaJF ambao ni wanafunzi wasiige sana na wakiiga wawe wajanja

pole sana muzeee, ila muzeee haukuwa na demu mwingine hapo mabibo au sio? hope hata condoms hukuwa nazo, au sio?na ulivyokuwa na kiu hata mda wa kufuata nje hukuthubutu au sio? kwani ungekosa mechi bro, ukazama mzimamzima, japo CD yako imeruka hii part ya kukosa kimfuko!duh pole sana ingekuwa HIV anayo from Tabora? duh tafakari
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom