Ni nia yangu tuu kuomba ushauri na kukusanya ushauri mbalimbali kutoka kwenu ,then nifanye maamuzi!
Ushauri na maoni gani? Kuna probability mbili au tatu hapa,
1. Wewe waweza change mind
2. Yeye anaweza change mind
3. Mnaweza subiriana
Kufunga ndoa kabla umeshauriwa umesema haiwezekani.
Kumpa mimba ni njia lkn haigarantii asilimia 100.
Haya suppose watu wengi wamesema ni vigumu, unafanyaje you quit au unakuwa na mtu spare just in case?
Na what if naye anashauriwa na watu atafute spare huoni mnakuwa mmeharibu kila kitu.
Kwanini usijiamini kuwa anakupenda na jinsi ulivyo hakuna mwingine duniani kama wewe (which is very true)!
am proud being ur mwalimu!Dogo sikia nikwambie kama mnaamini mnapendana then just go kwa sababy kama una hofu kuwa atakucheat, anaweza kufanya ivo hata mkiwa mmeoana au kuvishana pete ye uchumba
Ukiniambie suala la kumkuta physically akiwa anakusubiri wewe kama wewe kuwa ndo linakupa hofu kwamba atakuwa ameolewa na mtu mwingine then naweza kukuelewa...ila tena inategemea kama anakupenda unampenda haina shida hataweza kufanya ivo
Na ili kuhakikisha humpotezi hakikisha unawasiliana naye KILA SIKU tangu ukiwa umefika huko. Siku hizi kuna Skype achilia mbali simu so that should not be a barrier.
Nimempeda amekushauri jambo la maana kuwa ukasome...at least anaonyesha kuwa na future na wewe...wengine wangedai utupie mbali umuoe yeye afu sijuimngeangaliana tu humo ndani?
Tia mimba nenda kasome...utaongeza chances za kumkuta!