serekali wanaogopa hii mitandao ya jamii habari zinafika kwawananchi mapema sana bila wao kuzifikisha wao wanajaribu kubada habari za msingi wanaogopa kufikisha ujumbe kwa wananchi
Thats obvious jane_000 ,hakuna serikali duniani inayopenda hilo. Leo Assange wa Wiki leaks anawindwa kama sungura na Serikali hata ya Marekani. China huko mitandao ndo ina dhibitiwa kiaina.
Serikali ijifunze tu kuwa karibu na wananchi wake ili tuwe pamoja.
Toka lini mwizi na mwenye mali wakawa na undugu?Viongozi wetu awataki madudu yao yaanikwe hadharani.wanataka tuwaone wema machoni kumbe huku nyuma wanatuibia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.