TASLIMU Senior Member May 6, 2011 144 21 Dec 7, 2011 #1 Nimekuja javin nimesoma sana hoja nyingi,tokea mwenz wa kwanza2011,nawapongeza wadau sana,jav la siasa,mahusiano,ajira,elimu,lugha,mastaa,nk safi sana
Nimekuja javin nimesoma sana hoja nyingi,tokea mwenz wa kwanza2011,nawapongeza wadau sana,jav la siasa,mahusiano,ajira,elimu,lugha,mastaa,nk safi sana
libent JF-Expert Member Oct 29, 2011 382 84 Dec 7, 2011 #3 karibu sana tunakukaribisha kwa moyo mkunjufu karibu tuijenge tz yetu
ndetichia JF-Expert Member Mar 18, 2011 27,772 6,555 Dec 7, 2011 #4 TASLIMU said: Nimekuja javin nimesoma sana hoja nyingi,tokea mwenz wa kwanza2011,nawapongeza wadau sana,jav la siasa,mahusiano,ajira,elimu,lugha,mastaa,nk safi sana Click to expand... mkuu kwenye bold hapo lugha za sms haziruhusiwi jamvini sawa karibu sana..:thinking:
TASLIMU said: Nimekuja javin nimesoma sana hoja nyingi,tokea mwenz wa kwanza2011,nawapongeza wadau sana,jav la siasa,mahusiano,ajira,elimu,lugha,mastaa,nk safi sana Click to expand... mkuu kwenye bold hapo lugha za sms haziruhusiwi jamvini sawa karibu sana..:thinking:
The Finest JF-Expert Member Jul 14, 2010 21,605 6,071 Dec 8, 2011 #7 Karibu JF natumaini Ulimakafu na Chatu Dume wamekupa juisi
LEGE JF-Expert Member Oct 14, 2011 5,123 9,167 Dec 9, 2011 #10 Karibu sana mkuu kabla hauja ingia lasmi kanunue generetor au kama una2mia phone nunua betri za kutosha.Kisha zichaji zote
Karibu sana mkuu kabla hauja ingia lasmi kanunue generetor au kama una2mia phone nunua betri za kutosha.Kisha zichaji zote
TASLIMU Senior Member May 6, 2011 144 21 Dec 15, 2011 Thread starter #11 Nashukuru wote mlionipokea,nami nimeanza kutoa mada mbalimbali ktk siasa,mfano ilikua fungate ya uhuru
Nashukuru wote mlionipokea,nami nimeanza kutoa mada mbalimbali ktk siasa,mfano ilikua fungate ya uhuru
TASLIMU Senior Member May 6, 2011 144 21 Dec 16, 2011 Thread starter #13 Pure nomaa said: Karibu mkubwa Click to expand... Akhsante