Then utaenda wapi? Humu ni kwa kudumu...ukiingia hutoki hata km ulikwa unabeepWatu wa huu mji wakarim kwelkwel,ndg zang msnichoke nitakaa mpaka xmas ya 2015
Nimeona ni vizuri nikaanza kwa adabu zaidi kwa kuomba ridhaa ya wenyeji wangu kifupi nyumbani hii nimeipenda na taendelea kuwepo mpaka mnichoke Tafadhali naomba kuwasilisha
Habari ya mwaka mpya.