Tanzania tunayoitaka
Member
- Jul 1, 2012
- 20
- 2
Nimeingia rasmi ktk jukwaa hili la jamii forums kwa nia ya kujenga tanzania tunayoitaka kwa hoja, bila kupendelea itikadi ya chama chochote kwa maslahi tunayotaka. Penye kukosoa na penye pongezi nitaonyesha. Uongo na unafki mwiko.
Tanzania tunayoitaka ipo mikononi mwetu
Tanzania tunayoitaka ipo mikononi mwetu