Karibu Nyange.............. muuraaaa fhitha ni fhitha wenzio wamo humuNdo kwanza najiunga, na ni mgeni naomba mnipokee.
Nawashukuruni nyote kwa ukaribisho. Nadhani tutakua pamoja tukikumbushana, kuelimishana na kupeana mikakati ya maisha ili tusonge mbele kutoka tulipo na kuelekea kwenye maisha bora zaidi.