First Eleven
Member
- Apr 2, 2011
- 20
- 1
Hakika mwenendo wa taifa letu tangu tupate uhuru miaka 50 iliyopita haileweki kwa kila kukicha. Maisha yamezidi kuwa duni na magumu. Kuwa na mfumo wa Kisiasa wa vyama vingi kigeresha. Kwamfano, suala la kikatiba inaonyesha serikali ya CCM inajitengenezea katiba kwa mipango ya kutawala milele, wakisahau wametawala miaka zaidi ya hamsini BILA mafanikio na sasa ni wakati wa kuwaachia Watanzania wengine wenye uwezo kuongoza taifa hili.
Hivyo basi mahali mojawapo pa kupata khabari na kushiriki kimawazo ni hapa JAMVINI, JF. Hodi! Hodi! Wana JF...
Hivyo basi mahali mojawapo pa kupata khabari na kushiriki kimawazo ni hapa JAMVINI, JF. Hodi! Hodi! Wana JF...