Wewe karibia tu jichanganye mkubwa.
Hapa kuna kila aina ya watu na thread. Utajifuna na tutajifuna mengi kutoka kwako
Kuna aina ya watu wanapost tu thread for the sake apate replies nyingi. watu wa aina hii wanaweza wakaandika na kusimamia kwenye uwongo ingawa hata wao wanajua nafsini mwao ukweli na njia sahihi ni ipi. Tena kwa kipindi hiki tunakoelekea uchaguzi mhh naona siku hizi post nyingi.
Kuna watu wanaandika na kupost thread kwa nia kubadilisha mawazo,kupata challenges katoa mawazo na mitazamo mipya ya kujenga kwenye bila kusimamia kwenye misingi ya dini na ukabila
Kifupi kuna kila aina ya watu wa CCM CHADEMA, CUF, WAISLAM, WAKRISTU WASHIO NA DINI, WA USA, UK TANZANIA n.k ni kama mtaani tu
kwa hiyo karibu sana. hope utatumia busara zako, utatumia HAKI na WAJIBU wako vizuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.