HODI Wanajamii. Hodi hapa.

Emma M.

JF-Expert Member
May 15, 2009
204
6
Mimi ni Emma,
Mwanamke mpenda haki, mtoa haki, muwazi na mkweli.
Naomba ruhusa nianze kujumuika na wana jamii.
Naahidi kufuata sheria za forum hii murua,
Nitakuwa mimi kwa mitazamo yangu,
Sitamuogopa mtu kwa jina, umri, uwezo, au jinsia,
Nitamheshimu kila mtu hata kama hatajiheshimu binafsi,
Sitampaka mwanajamii yeyote mafuta kwa mgongo wa chupa,
Sitapenda mwanajamii yeyote kunipendelea,
Nitakuwa tayari kubadili mtazamo wangu nikigundua mtazamo bora zaidi,
Sitalazimika kupongeza nisichokikubali.

Nabisha hodi,
NAOMBA KUFUNGULIWA MLANGO JAMIIFORUMS.
 
Mimi ni Emma,
Mwanamke mpenda haki, mtoa haki, muwazi na mkweli.
Naomba ruhusa nianze kujumuika na wana jamii.
Naahidi kufuata sheria za forum hii murua,
Nitakuwa mimi kwa mitazamo yangu,
Sitamuogopa mtu kwa jina, umri, uwezo, au jinsia,
Nitamheshimu kila mtu hata kama hatajiheshimu binafsi,
Sitampaka mwanajamii yeyote mafuta kwa mgongo wa chupa,
Sitapenda mwanajamii yeyote kunipendelea,
Nitakuwa tayari kubadili mtazamo wangu nikigundua mtazamo bora zaidi,
Sitalazimika kupongeza nisichokikubali.

Nabisha hodi,
NAOMBA KUFUNGULIWA MLANGO JAMIIFORUMS.

Karibu sana. Uwe huru kabisa. Karibu
 
Karibu sana Emma na nafikiri unachokikusudia ndio ambacho tunakitarajia kwa upamoja wake kwa maslahi ya Taifa.
 
Mimi ni Emma,
Mwanamke mpenda haki, mtoa haki, muwazi na mkweli.
Naomba ruhusa nianze kujumuika na wana jamii.
Naahidi kufuata sheria za forum hii murua,
Nitakuwa mimi kwa mitazamo yangu,
Sitamuogopa mtu kwa jina, umri, uwezo, au jinsia,
Nitamheshimu kila mtu hata kama hatajiheshimu binafsi,
Sitampaka mwanajamii yeyote mafuta kwa mgongo wa chupa,
Sitapenda mwanajamii yeyote kunipendelea,
Nitakuwa tayari kubadili mtazamo wangu nikigundua mtazamo bora zaidi,
Sitalazimika kupongeza nisichokikubali.

Nabisha hodi,
NAOMBA KUFUNGULIWA MLANGO JAMIIFORUMS.

Karibu sana bibie..........! Ebu pita hadi huku sebuleni kabisa! Tupe michango yako hapa The home of Great Thinkers!

Cheers
 
Mimi ni Emma,
Mwanamke mpenda haki, mtoa haki, muwazi na mkweli.

Sitampaka mwanajamii yeyote mafuta kwa mgongo wa chupa,

EMMA,
Karibu.
Naahidi sitakupendelea kwa kuwa wewe ni mgeni au kwa vile wewe ni mwanamke,
Kile utakachostahili kulingana na mchango wako katika JF(Jamii Forum) nitakupatia.
Hapa JF utakomazwa na kulelewa vilevile.
KARIBU MADAM,.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom