kiroba
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 324
- 114
Nachukua muda huu kuwaomba ndugu zangu wapendwa mnikaribishe kwenye hii familia ya JF. Nimejifunza mengi sana kupitia kwenu wakati nikiwa sio member. Sasa nimeona umefika wakati na mimi kuingi akwenye familia hii ili niweze kutoa na kupokea changamoto zilizopo kwa familia hii ya JF.
Naomba kuwasilisha!
Naomba kuwasilisha!