T Twasila JF-Expert Member May 12, 2011 1,913 598 May 12, 2011 #1 wakuu hamjambo?. Nafurahi kujiunga nanyi. Natarajia kuwa mshiriki makini. Asanteni.
K Kijallo JF-Expert Member Mar 3, 2011 409 61 May 12, 2011 #3 Karibu sana jamvini,Twasila kikwetu ni tunaisha,kikwenu manake nn?
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,702 May 12, 2011 #4 Twasila said: wakuu hamjambo?. Nafurahi kujiunga nanyi. Natarajia kuwa mshiriki makini. Asanteni. Click to expand... Karibu sana jamvini Twasila. Nini maana ya jina lako? Kwa lugha yetu maana yake twaisha...
Twasila said: wakuu hamjambo?. Nafurahi kujiunga nanyi. Natarajia kuwa mshiriki makini. Asanteni. Click to expand... Karibu sana jamvini Twasila. Nini maana ya jina lako? Kwa lugha yetu maana yake twaisha...
M Major JF-Expert Member Dec 20, 2007 1,865 2,439 May 12, 2011 #6 karibu sana bwana uungane na wapambanaji mpaka tuhakikishe tunamtoa joka fisadi pangoni