The Bleiz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2012
- 5,062
- 13,461
Upi tena kipipi?you are warmly welcome, utaratibu wetu ni ule ule tu!!
Upi tena kipipi?you are warmly welcome, utaratibu wetu ni ule ule tu!!
jina halisi:sharobaro a.k.a diamondKaribu sana mgeni! Utaratibu wetu ni hivi; unaandika majina yako halisi yote matatu, umri wako, mahali unapoishi, namba yako ya simu na anuani ya posta, marital status pamoja na kazi yako ili siku ukipatwa na shida iwe rahisi kukusaidia kwa sababu we ushakua chama letu!!! Unakaribishwa sana mheshimiwa!
Upi tena kipipi?
jina halisi:sharobaro a.k.a diamond
umri:18yaz oldi
makazi:chole rodi,masaki
tel:112
marital staus:semi-married
kazi:deiwaka jf
naomba mnipokee mmu
Usijali mwanakwetu, dada yako mkubwa alishanipatia details zako. Mwambie akupe pasiwedi uweze kuziona, ila huwezi kufanya changes bila ruhusa maalum!!
Hahahahaha! umenichekesha mpaka bac!haya bwana mie wala ctaingilia kazi yako!
Bishanga una vituko wewe eti 'marital status:semi-married'jina halisi:sharobaro a.k.a diamond
umri:18yaz oldi
makazi:chole rodi,masaki
tel:112
marital staus:semi-married
kazi:deiwaka jf
naomba mnipokee mmu
Ok gv me sam minits...Jamani embu msome Bishanga hapo juu ila hutakiwi kufanya utani kama yeye!!