karibu chetuntu....kumbuka nimekukarisha wa kwanza. Hapa kuna raha na karaha je we umekuja na lipi?
Karibu!
Karibu sana jamvini!
Naona ulikwishaingia mpaka sebuleni kwa post zako nyingi bila kugonga mlango na ukaona si busara kuingia bila kugonga mlango.Hodi jamvini, nami naomba admission.
Rest in Peace...Karibu sana jamvini!
?????????Rest in Peace...