mchakachuaji192
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 366
- 68
Ndugu jamaa na marafiki napenda kubisha hodi humu ndani kwa moyo mmoja naomba kukaribishwa na mlioko humu ndani kwa ushirikiano wenu na kuwa pamojakatika uchangiaji wa hoja mbalimbali, nawatakia majukum mema na tuendelee kuwa pa1 ktk ujenzi wa nchi yetu, love you all, pia ningependa kujua yaruhusiwayo na yasiyoruhusiwa ndani humu just for future reference