Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Karibu, uko mitaa ipi kwa sasa?
Afu we mbaguzi sana. Nlivokuja mimi Iringa ulinipotezeaje? Au kwakuwa nlitinga suti na Raba mtoni za klorokwini?
Karibu, uko mitaa ipi kwa sasa?
Karibu, uko mitaa ipi kwa sasa?
Somo la ukimwi na jinsi unavyoambukizwa halijaeleweka........Tujifunze unaambukizwa vipi....siyo ukienda tuu sehemu yenye takwimu inayoongoza kuwa na wagonjwa wengi basi nawe unapata:focus:....Ni wa pili kwa ukimwi Tanzania chukua tahadhari
Wakazi wa Iringa mpoo? Nategemea kuja huko mwishoni mwa wiki hii. Nipokeeni mgeni wenu