Karibu Leftbrain.... baada ya kuangalia sifa zako
Left Brain :- Logical / Sequential / Rational /Analytical / Objective / Looks at parts
Tunakuhitaji sana michango yako
Have we met somewhere before? You sound very familiar, well don't worry I'll PM you just for a reminder. Ha ha ha, left..right..left..right..halt..stand at ease..leftbrain..about turn..welcome to JF!
Have we met somewhere before? You sound very familiar, well don't worry I'll PM you just for a reminder. Ha ha ha, left..right..left..right..halt..stand at ease..leftbrain..about turn..welcome to JF!
Private Message, ni internal communication ambayo unaweza kutuma message private kwa member yoyoteWats the meanin of PM mkuu?
Umechelewa Mengi sana Mkuu. Humu ndiyo EPA, Dowans, MEREMETA nk zilifumuka.
Baadaye JF ikaanza kuwa kama Taarabu kwa kuandika habari za watu binafsi, ila hili limepigwa sana vita na kwa bahati nzuri ZEUTAMU imerudi tena hewani na wale wote wa ZEUTAMU wamerudi kwao......
JF kidogokidogo inaanza tena kurudi kwenye RELI yake na mambo yanaanza tena kuwaka moto.
Sijui itadumu kwa siku ngapi maana huko Egypt kunavyozidi kuwaka, vitu kama JF wanaanza kuwa ADUI namba moja wa baadhi ya watu hapa Tanzania.
Umechelewa sana? HAPANA. Kwenye maisha hakuna kuchelewa Mkuu. Karibu sana na soon utaanza kuelewa lugha za JF kama vile ukisoma Mirambo Street unaelewa ni Rostam Azziz, ukisoma Magogoni unaelewa...... ukisikia Mkwere/Muungwana basi elewa ni Kikwete na ukisikia WAPWA basi elewa ni kundi la Wapwa kikweli na huko wana Mchungaji wao Rev. Masanilo aliyepo KIFUNGO.
JF, ni dunia fulani kwa sasa ambayo wengi tunaishi humo ndani. Karibu sana.
Kweli umekosa mijadala mingi lakini ipo mingi tu inaendelea.Sijachelewa maisha mkuu, ila nadhani kama ningeijua hii site miaka miwili nyuma ingenisaidia kuelewa mambo mengi zaidi from great thinkers. Asante sana kwa kunipa maana ya hayo maneno.
Nilikua siifahamu hii site. Nimesikia kuna mambo mengi sana yana endelea hasa challenge mbalimbali za maisha na Serikali yetu hii tata. Naamini sijapitwa sana naombeni mnipokee wana jamii.