BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
Jambo wana JF. Naombeni mnikaribishe jamani ila naomba niwaeleze mimi sifungamani na upande wowote. Kwenye jukwaa la siasa sina chama kwahiyo naangalia hoja na mwenendo. Chadema wakifanya vibaya nawalipua, CCM wakikaa vibaya nawalipua. Sina interest na chama chochote. Maisha yangu yanasonga bila ya kushabikia chama.
Asanteni
Asanteni