Dah..At last nimepata nafasi ya kuingia kwenye hii familia baada ya kuelekezwa mara kibao na marafiki zangu!! Mada motomoto zilizomo humu ndani zinaamsha mwili na kunipa moyo zaidi kuwa bado kuna Watanzania wengi ambao tuna uchungu na hii nchi!!
Tupo pamoja
Mdau MiNasema.
Tupo pamoja
Mdau MiNasema.