Raimundo JF-Expert Member May 23, 2009 13,416 12,600 Feb 17, 2012 #1 Hodi hodi naingia, Humu ndani nikishangilia, Natumai mtanipokea, Na sheria nielezea, Nimechoka kuchungulia, Bila chochote kuchangia. Sasa natulia, Kukaribishwa nasubiria, Nisije nikachangia, Lisipohusika jukwaa.
Hodi hodi naingia, Humu ndani nikishangilia, Natumai mtanipokea, Na sheria nielezea, Nimechoka kuchungulia, Bila chochote kuchangia. Sasa natulia, Kukaribishwa nasubiria, Nisije nikachangia, Lisipohusika jukwaa.
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,701 Feb 18, 2012 #2 karibu sana, soma kwa makini sheria na kanuni za humu ndani, usisahau kwenda kupiga hodi jukwaa la lugha!
karibu sana, soma kwa makini sheria na kanuni za humu ndani, usisahau kwenda kupiga hodi jukwaa la lugha!
M Msafiri Kasian JF-Expert Member Sep 9, 2011 2,133 659 Feb 18, 2012 #3 Karibu! Pitiapitia sheria za humu,patakapokushinda uliza!
Raimundo JF-Expert Member May 23, 2009 13,416 12,600 Feb 18, 2012 Thread starter #4 Asanteni wadau kwa ukaribisho wenu, nimekaribia.
U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 29,012 10,653 Feb 20, 2012 #7 Raymond E said: Hodi hodi naingia, Humu ndani nikishangilia, Natumai mtanipokea, Na sheria nielezea, Nimechoka kuchungulia, Bila chochote kuchangia. Sasa natulia, Kukaribishwa nasubiria, Nisije nikachangia, Lisipohusika jukwaa. Click to expand... Malenga weye?Hongera krb.
Raymond E said: Hodi hodi naingia, Humu ndani nikishangilia, Natumai mtanipokea, Na sheria nielezea, Nimechoka kuchungulia, Bila chochote kuchangia. Sasa natulia, Kukaribishwa nasubiria, Nisije nikachangia, Lisipohusika jukwaa. Click to expand... Malenga weye?Hongera krb.