Mwiyuzi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2011
- 846
- 432
Hhahaha ama kweli wewe Mzaramo halisi...bila shaka hata Cholesamvula, Mzenga na Mafizi unaweza ukawa na ndugu na jamaa pia.Hahaha,
Minaki pale pua na mdomo na kwetu. Unapokutana na watu, tisa kati ya kumi hawakupi picha halisi.
Mlifika Mwanarumango?