BAOBAO
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 1,874
- 547
Nimekuwa mfatiliaji wa JF kwa muda,lakini sasa nimeamua kuingia ndani ya ngoma kucheza na sio kuwa mtazamaji wala mshabiki wa JF.Ombi langu kwenu kama kama jogoo la shamba liliongia mjini;kwa kujengana na kufarijiana katika mambo yote,kwa heshima tuliojaliwa kama Waafrika .Asante sana kwa kunikaribisha JF !!!,