Nimekuwa nikisoma jamiiforums kwa muda mfupi sasa na kugundua kuwa nimejifunza mengi kwa kipindi hiki kifupi. Kwa misingi hii nimeonelea ni vyema nikajiunga rasmi na Jamvi hili baada ya kuwa refered na memba mmoja hapa.
Nashukuru nitajifunza mengi na kubadilishana mawazo tofauti huku tukiendelea kuheshimu utu wa mtu.
Nashukuru nitajifunza mengi na kubadilishana mawazo tofauti huku tukiendelea kuheshimu utu wa mtu.