Sijakusoma kabisa Bebii.Hodi hodi humu nipokeeni
sio mimi.........
Hapo shega.....jamaa anataka kuwa member bana
Hodi hodi humu nipokeeni
jamaa anataka kuwa member bana
sio mimi.........
mpokeeni bwana
mpokeeni bwana
rocky bana mbona wa ukweli huyo? mbona wewe hujaenda kutetea nyumba ndogo bwana
ashadii wamemkaba kweli bana kumbe mnapenda nyumba ndogo eeeh loh yaani kuna mtu ndo nilikuwa nakubali proposal yake leo kwa ile thread nimenyala loh??????????wewe una nafasi ya small house?Mhhh hana hata chembe ya mtu wa uweli tena ni nuksi tuu hapa jamvini bana
BTW nimeogopa bana maana ningekuwa upande wa RR wanaume wengine humu wangenichana chana bure
ashadii wamemkaba kweli bana kumbe mnapenda nyumba ndogo eeeh loh yaani kuna mtu ndo nilikuwa nakubali proposal yake leo kwa ile thread nimenyala loh??????????wewe una nafasi ya small house?