Rubi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2009
- 1,615
- 326
umekilipia?Wenyewe mpo humu ndani, nimetoka mbali mie nahitaji kinywaji kabla kabla sijaanza kuongea.Tena nahitaji kile cha baridi sanaaaaaaa!!
lakini karibu sana sis tena kwa
umekilipia?Wenyewe mpo humu ndani, nimetoka mbali mie nahitaji kinywaji kabla kabla sijaanza kuongea.Tena nahitaji kile cha baridi sanaaaaaaa!!
willkommen!isagha mama
karibu mama
welcome mama
Kuna wanaume wengine huwa wanaolewa...........Kwani kakuambia yeye ni she?
Mie mwanamke wa kislam lakini sivai hijab mie, hijab ni utamaduni wa kiarabu.Karibu mama ila mvinyo asubuhi yote hii? Huyo mchumba mtawezana kweli? Halafu mama hijabu na mvinyo wapi na wapi? Usijali sana mama unakaribishwa sana tu ndo maisha yetu lakini ungeomba badae kidogo may be saa sita au saba!
I'm single im still looking.Umeolewa.???