Hodi hodi hodi humu ndani.

Karibu mama ila mvinyo asubuhi yote hii? Huyo mchumba mtawezana kweli? Halafu mama hijabu na mvinyo wapi na wapi? Usijali sana mama unakaribishwa sana tu ndo maisha yetu lakini ungeomba badae kidogo may be saa sita au saba!
Mie mwanamke wa kislam lakini sivai hijab mie, hijab ni utamaduni wa kiarabu.
Kwani waislamu hatunywi kilevi? Anyway kilevi hakina dini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom